Umenikumbusha wakati nikiwa npo BMC nilisoma na jemba moja inaitwa LUBANGO CHIKANDA a man of people.Muite LUBANGO jina la kibantu safi kabisa likiwa na maana ya BARAKA
Hahaha nipo MbeyaUpo Makambako Nini Mleta Mada?
kama wew ni mtanzania,si umpe jina tu la kabila lako au badilisha maana ya trump kikwenu then muite ivo ila,ukmpa jina la trump utakuwa ni uboya uo.
Ushauri kuntu kabisa, asije kujipa ubaba kwa mtoto wa mwanaume mwenzie buuuree!Kapime DNA kwanza, ukileta mrejesho nitakushauri
Muite Donald Trump Jr.Mimi napenda sana siasa ingawa siasa hazinipendi. Jana wakati Trump anaapishwa Mimi na mke wangu tumebarikiwa mtoto wa kiume. Je nimuite trump?
jaribu kuwa serous mkuu!Muite Magufuli
Muite Adama Barrow au Jameh hao ndio ndugu zako, waafrika wenzako.Mimi napenda sana siasa ingawa siasa hazinipendi. Jana wakati Trump anaapishwa Mimi na mke wangu tumebarikiwa mtoto wa kiume. Je nimuite trump?
hlo jina kuna jamaa angu nmesoma nae pande za bukoba alikua anaitwa hili jinaaaMuite LUBANGO jina la kibantu safi kabisa likiwa na maana ya BARAKA
Wanaokwenda kwa matukio utawajua!Mimi napenda sana siasa ingawa siasa hazinipendi. Jana wakati Trump anaapishwa Mimi na mke wangu tumebarikiwa mtoto wa kiume. Je nimuite trump?
nikinukuu text iliyopo kwenye signature yako....."kwani nchi ya Trump ni ya babaako?"Mimi napenda sana siasa ingawa siasa hazinipendi. Jana wakati Trump anaapishwa Mimi na mke wangu tumebarikiwa mtoto wa kiume. Je nimuite trump?