Upo Dar tu hapo unadhani ndo mwisho wa dunia, Siku ukifika newyork si utajiona upo mawinguni.Tatizo watangazaji wa mikoani sio wabunifu, wanapenda kuiga swaga na sauti za watangazaji wa Redio/TV za Dar.
Hivi Fredwaa yupo wapi?
wanaiganaKuna Jamaa mwingine wa Radio Free Africa anatangaza kama Adam Mchomvu.
mimi pia mara ya kwanza kumsikia nilijua ni dullaKuna mtangazaji,..wa abud fm nimemsikiliza kwa umakini mnoo ila nimeshindwa kumuelewa Ni DULA wa East Africa radio au sauti zinafanana tu...mwenye uelewa wa hili Jambo anijuze..
Kwani kuiga kitu kizuri ni dhambi ?wanaigana
Story ya K-Zi na safari yake ya kuzamia Sauzi ilibamba sana enzi hzo 2004Nishaacha kusikiliza redio siku nyingi kwa sababu zangu binafsi. Nisingeacha ningekuwa naijua.
Nilikuwa napenda sana kipindi cha Sitasahau(RFA) kila jumapili, kusikiliza simulizi za mbalimbali za maisha ya watu katika hustle.
Ivi hiki kipindi RFA bado kipo?
sio dhambiKwani kuiga kitu kizuri ni dhambi ?
Siyo dhambi ila utampa sifa na kumpaisha zaidi yule unayemuiga wewe utabaki hapo hapo YAANI huwezi kuwa na brand yakoKwani kuiga kitu kizuri ni dhambi ?
RFA na Kiss kama Mmiliki M1 ,Mara nyingi namsikia RFA kwa mfano Ijumaa alikuwepo kuanzia mida ya saa tatu mpaka saba usiku.RFA au Kiss fm ????
Kama ambavyo ukitaka kupata wanzuki lazima uchanganye kimpumu na ulanziSio yeye...uyo anachukua swaga za Dulla na Lil Ommy anachanganya anapata yake
Nishaacha kusikiliza redio siku nyingi kwa sababu zangu binafsi. Nisingeacha ningekuwa naijua.
Nilikuwa napenda sana kipindi cha Sitasahau(RFA) kila jumapili, kusikiliza simulizi za mbalimbali za maisha ya watu katika hustle.
Ivi hiki kipindi RFA bado kipo?
Ule ni moto mwngneKuigana kawaida..ila bado hajatokea wa kumuiga fettylicios
akil ku mkichwaKama ambavyo ukitaka kupata wanzuki lazima uchanganye kimpumu na ulanzi
hakuna mbaya lakiniRFA na Kiss kama Mmiliki M1 ,Mara nyingi namsikia RFA kwa mfano Ijumaa alikuwepo kuanzia mida ya saa tatu mpaka saba usiku.
not to that extent. U call it brand ?like seriously ? Brand ???Siyo dhambi ila utampa sifa na kumpaisha zaidi yule unayemuiga wewe utabaki hapo hapo YAANI huwezi kuwa na brand yako
okeisio dhambi
ila ni kosa kisheria