Nenda kesho katume salamu ili upate uhakikaAisee sauti yake nikajua ndo mwenyew .anapiga part time abood fm..
Abood Frequency Modulation ipo wapi? ndio mara ya kwanza kuisikia hapaDuu hatari Sana,..
Serikali Ya Awamu Ya Tano Iko Mbioni Kuchimba Mfereji Kuanzia Bahari Ya Hindi Morogoro Ili Kuupa Hadhi MkoaAbood Frequency Modulation ipo wapi? ndio mara ya kwanza kuisikia hapa
Ipo Morogoro hiyo redio, nadhani ni ya yule mbunge wa Morogoro mjini Abood AzizAbood Frequency Modulation ipo wapi? ndio mara ya kwanza kuisikia hapa
Haa mkuu mbona Hawa jamaa wanapasua Sana mawimbi..Mimi nipo kijijin huku Kilimanjaro--mwanga ila nawapata vizuri Sana.
Ndo wenye mabasi ya abood..
Nishaacha kusikiliza redio siku nyingi kwa sababu zangu binafsi. Nisingeacha ningekuwa naijua.Dj juse ndo yupo kwenye burudan..za migoma mikali..isikilize..hata online..utailewa tu.
Lazima iwe hivyo, huyu jamaa kadominate sana Moro kibiashara.Ipo Morogoro hiyo redio, nadhani ni ya yule mbunge wa Morogoro mjini Abood Aziz
Hahahahahahaaa, unapata vyote vinavyozunguka katikatiSerikali Ya Awamu Ya Tano Iko Mbioni Kuchimba Mfereji Kuanzia Bahari Ya Hindi Morogoro Ili Kuupa Hadhi Mkoa
Nakumbuka Mkuu Alisema
Kulala Katikati Kuna Faida Zake Unapata Ya Dar es salaam Na Dodoma Katikati Ni Pazuri Sana
Nishaacha kusikiliza redio siku nyingi kwa sababu zangu binafsi. Nisingeacha ningekuwa naijua.
Nilikuwa napenda sana kipindi cha Sitasahau(RFA) kila jumapili, kusikiliza simulizi za mbalimbali za maisha ya watu katika hustle.
Ivi hiki kipindi RFA bado kipo?
RFA au Kiss fm ????Kuna Jamaa mwingine wa Radio Free Africa anatangaza kama Adam Mchomvu.
Hivi Fredwaa yupo wapi?