Naomba msaada kwa wenye uelewa wa kisheria,
1. Je kuna mgomo unaoruhusiwa kisheria na mtawala akaridhika? 2. Mbona hata CWT waliomba kibali cha mahakama na hata baada ya kuhusiwa watawala walitumia authority yao kuwatisha? 3.Je ikitokea waliogoma kutotii amri ya mahakama ni hatua gani itachukuliwa dhidi yao? Naomba niwasilishe kwenu wakuu.
1. Je kuna mgomo unaoruhusiwa kisheria na mtawala akaridhika? 2. Mbona hata CWT waliomba kibali cha mahakama na hata baada ya kuhusiwa watawala walitumia authority yao kuwatisha? 3.Je ikitokea waliogoma kutotii amri ya mahakama ni hatua gani itachukuliwa dhidi yao? Naomba niwasilishe kwenu wakuu.