Tall Guy fam
JF-Expert Member
- Jan 16, 2017
- 917
- 1,089
Wiki iliyopita siku ya ijumaa, nilizama Regalz ile ya AIM mall *The Best Movie Theater in Arusha* kucheki Ready Player One. Kutokana na ukubwa wa theater na uchache wa wateja, ni mara chache mnoo kukuta imejaa. Binafsi hua napenda kukaa pale chini ya projector row ya pili kutoka mwisho.
So nimezama nikakuta kuna couple ya kizungu, imekaa pembeni ya ile seat yangu. Nikawapita nikaenda nikakaa, nikawa mimi na huyo wa kike tumekaa seats zinazofatana. Ile nimesettle tu nikamuona yule manzi kama anamnong'oneza kitu hivi jamaa, ghafla wakasimama jamaa akahamia seat ya kushoto kwake, then yule manzi akahamia ile seat ya jamaa, kiasi kwamba kati yangu na yule manzi kukawa na gap la seat moja.
Hicho kitendo, sijui kwanini ila it made me feel some type of way. Nikajikuta nawaza is it because i'm black, au kwa mfano angekaa mzungu mwenzao wangehama? anyway nikaona udwanzi huu, nikanyanyuka nikaenda kumchapa kofi..just kidding..nikanyanyuka na mimi nikahama seat nikahamia ya kulia kwangu kiasi kwamba kati yangu na ile couple kukawa na gap la seats mbili.
Sema movie ilikua kali ikanipotezea mawazo, leo ndo nimekumbuka nikaona niishare.
So nimezama nikakuta kuna couple ya kizungu, imekaa pembeni ya ile seat yangu. Nikawapita nikaenda nikakaa, nikawa mimi na huyo wa kike tumekaa seats zinazofatana. Ile nimesettle tu nikamuona yule manzi kama anamnong'oneza kitu hivi jamaa, ghafla wakasimama jamaa akahamia seat ya kushoto kwake, then yule manzi akahamia ile seat ya jamaa, kiasi kwamba kati yangu na yule manzi kukawa na gap la seat moja.
Hicho kitendo, sijui kwanini ila it made me feel some type of way. Nikajikuta nawaza is it because i'm black, au kwa mfano angekaa mzungu mwenzao wangehama? anyway nikaona udwanzi huu, nikanyanyuka nikaenda kumchapa kofi..just kidding..nikanyanyuka na mimi nikahama seat nikahamia ya kulia kwangu kiasi kwamba kati yangu na ile couple kukawa na gap la seats mbili.
Sema movie ilikua kali ikanipotezea mawazo, leo ndo nimekumbuka nikaona niishare.