Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,238
Kila mwenye macho jionee mwenyewe halafu Toa maoni yako
weka ushahidiHuo ni mtaa sio jengo la ccm
Kwahiyo ?Simnasemaga polisi ni ccm imekuwaje tena?
Jeshi limetia aibu ikiwa habari hii ni ya uhakikahb ni rahisi watu kusema policcm kwa mambo haya.Jeshi liwe kitaasisi zaidi ili kujenga imani.Kwahiyo ?
Kwani umesahau kwamba polisi ni taasisi moja ndani ya CCM?
🤣
Kwani umesahau kwamba polisi ni taasisi moja ndani ya CCM?
Weka rangi ya kijani picha ipendeze zaidi.
Weka rangi ya kijani picha ipendeze zaidi.
Huo sio mtaa bali ni jengoa la CCM Block A yaani inawezekana wana majengo mengi lkn hilo ni Block A na kuna B nk.Huo ni mtaa sio jengo la ccm
Labda CCM wamewapa hifadhi polisi free of charge, changamoto siku CCM Etuma wakifanya jinai..