kila kitu kina msimu wake. Hata Dola ya America ipo siku itapotea mkuu
Kila uwongo unamwisho wake wamebebwa sn miaka 6 mfululizo,. Timu imekaa kutegemea mapenati na redcard ka azam bana,. Lol!
hapo kwenye azam umeharibu,soka na ngumi wapi na wapi!?
Itatawala sarafu ya china MUSA
Wamepoteza michezo mitatu iliyopita....
Wameondolewa kwenye UEFA champions league...
Wamezidiwa Point nyingi na dalali za kuvuliwa ubingwa wa la liga ni dhahiri...
JE HUU NDIO MWISHO WA BARCELONA??
hata ccm ipo siku itapotea