Je, hivi huwa wanawaza kama ambavyo sisi wengine tunawaza juu yao?

Ivan Stepanov

JF-Expert Member
Apr 22, 2023
4,903
15,995
Nimekuja kugundua kuwa yamkini Tunawaonea sana huruma watu ambao kwa namna moja au nyingine wala hawajal maisha yao kabisaa.

Juz kati nikiwa naelekea Arusha nikawa nachek tv, nimekaa kwenye bas wameweka vidoeo ya Jux ile Sugar Dady, (mimi sio mpenz wa kuangalia hiz video za vijana wetu kwakua nying ni za hovyo hovyo).
Bas kwakua hakuna namna ndio safar tena kilometa za kutosha inabid uzuge tu kuangalia.

BAsi nikawa nawangaliaaaa wale madada kwenyw hiz video za amapiano za kibongo bongo wanavyo cheza cheza uchii wanajibinua binua matako wazi meusiiii wengine meupeeee nyege zinanipanda na kushuka ila no sweti.

Mwisho nikajiuliza hivi hawa HUWA WANAPATA HATA MUDA WA KUFIKIRI KUHUSU MAISHA YAO YA MIAKA 3 HADI 5 MBELE ITAKUAJE??

Wanajua wataishije ?
Maaana hapa wanapata soko kwenye video za wasanii kwakua shape bado ziko intact na zinalipa ila kila siku kuna ingizo jipya sokoni watoto wabichi bichi (container mpyaaa zinashuka) wanaingia hawa soko linaisha..
Hiv haya mambo wao wanayawaza kweli?
Hiv huwa wanapata hata muda wa kutafuta idea juu ya nini wanaweza fanya ili angalau wa invest muda wao huko ili angalau wawe na kipato endelevu hata kama kidogo????

Hiv haya matako wanayo binua binua watakapokua certified single mazers hapo mbele ya safar watoto wao watazitazamaje?? Maana kwa maisha yao wanaishi ni a guarantee kwamba they r never gonna mary someone and settle for marriage life!..

Hiv hawa wataishije hawana sustainale plans juu ya maisha yao wenyewe, achana na maisha ya watoto wanaoweza kulazimika kuwazaa baada ya kupata mimba na kushindikana kuzitoa (maana ndio mfumo wao wa maisha-ila huwa inafika time no way lazima uzae).

Hiv kwel hawa wanawake na mabinti huwa wanawaza nini kwenyw akili zao.Sometimea unatamani ungefumua vichwa vyao japo uone ni madudu gani wamejaa kwenye bongo zao labda uwasaidie kuwaondoa labda watakaa sawa!!!. Yan kuna muda unatamani kama kungekua na namna ya ku resett vichwa vyao to default setting ila ndio hivyo haiwezekani.

Kwamfano binadamu mwingine average siku inapoisha ni kawaida kulala na hata kutembea na mawazo kama
  • ule mzigo pale bandari nautoaje?
  • kwann wateja wamekata dukani?
  • kesho naanzia wapi kutafutia wateja wa hudima yangu?
  • nimtafute nani wa kunisaidia kumaliza proposal yangu ya biashara nikachykue mkopo bank???
  • n.k n.k


Sasa nikawaza hivi hawa wanawake wanaocheza cheza uchi matako nje nje kwenye hiz video huwa wanawza nini kichwan wanapoamka? Au siku inapoisha?? Au wanapolala ?? Huwa wanawaza vitu gani hawa mabinti zetu???

Yan unajikuta unajitwisha mzigo wa kuwazaaaa kwa ajil yao unaingia kwenyw mawazo sana ila wao hataaaa hawana was was ..Wanachojua ni LEO!! KESHO kwao wala sio mjadala.Itakuja tu yenyewe tu!!..


UBaya sasa wao wanapocheza cheza uchi wanafikir unawataman muda wote kumbe wewe unawoangalia halad unaangalia future zao unakosa majibu.UNAWAONEA HURUMA SANA SANA lakin wao WANA ENJOY FUN MOMENTS!!

kwakwel huwa inafikirisha sana.
ila anyway , nadhan hayatuhusu sana.
Screenshot_20230617_185637_Samsung Internet.jpg
 
The more aware you become, the more you understand it's not your job to fix people's issues, regulate their emotions, manage their insecurities, pacify their inner wars, heal their wounds, save them from the consequences of their choices, and be the version of you in their minds.
 
Nimekuja kugundua kuwa yamkini Tunawaonea sana huruma watu ambao kwa namna moja au nyingine wala hawajal maisha yao kabisaa.

Juz kati nikiwa naelekea Arusha nikawa nachek tv, nimekaa kwenye bas wameweka vidoeo ya Jux ile Sugar Dady, (mimi sio mpenz wa kuangalia hiz video za vijana wetu kwakua nying ni za hovyo hovyo).
Bas kwakua hakuna namna ndio safar tena kilometa za kutosha inabid uzuge tu kuangalia.

BAsi nikawa nawangaliaaaa wale madada kwenyw hiz video za amapiano za kibongo bongo wanavyo cheza cheza uchii wanajibinua binua matako wazi meusiiii wengine meupeeee nyege zinanipanda na kushuka ila no sweti.

Mwisho nikajiuliza hivi hawa HUWA WANAPATA HATA MUDA WA KUFIKIRI KUHUSU MAISHA YAO YA MIAKA 3 HADI 5 MBELE ITAKUAJE??

Wanajua wataishije ?
Maaana hapa wanapata soko kwenye video za wasanii kwakua shape bado ziko intact na zinalipa ila kila siku kuna ingizo jipya sokoni watoto wabichi bichi (container mpyaaa zinashuka) wanaingia hawa soko linaisha..
Hiv haya mambo wao wanayawaza kweli?
Hiv huwa wanapata hata muda wa kutafuta idea juu ya nini wanaweza fanya ili angalau wa invest muda wao huko ili angalau wawe na kipato endelevu hata kama kidogo????

Hiv haya matako wanayo binua binua watakapokua certified single mazers hapo mbele ya safar watoto wao watazitazamaje?? Maana kwa maisha yao wanaishi ni a guarantee kwamba they r never gonna mary someone and settle for marriage life!..

Hiv hawa wataishije hawana sustainale plans juu ya maisha yao wenyewe, achana na maisha ya watoto wanaoweza kulazimika kuwazaa baada ya kupata mimba na kushindikana kuzitoa (maana ndio mfumo wao wa maisha-ila huwa inafika time no way lazima uzae).

Hiv kwel hawa wanawake na mabinti huwa wanawaza nini kwenyw akili zao.Sometimea unatamani ungefumua vichwa vyao japo uone ni madudu gani wamejaa kwenye bongo zao labda uwasaidie kuwaondoa labda watakaa sawa!!!. Yan kuna muda unatamani kama kungekua na namna ya ku resett vichwa vyao to default setting ila ndio hivyo haiwezekani.

Kwamfano binadamu mwingine average siku inapoisha ni kawaida kulala na hata kutembea na mawazo kama
  • ule mzigo pale bandari nautoaje?
  • kwann wateja wamekata dukani?
  • kesho naanzia wapi kutafutia wateja wa hudima yangu?
  • nimtafute nani wa kunisaidia kumaliza proposal yangu ya biashara nikachykue mkopo bank???
  • n.k n.k


Sasa nikawaza hivi hawa wanawake wanaocheza cheza uchi matako nje nje kwenye hiz video huwa wanawza nini kichwan wanapoamka? Au siku inapoisha?? Au wanapolala ?? Huwa wanawaza vitu gani hawa mabinti zetu???

Yan unajikuta unajitwisha mzigo wa kuwazaaaa kwa ajil yao unaingia kwenyw mawazo sana ila wao hataaaa hawana was was ..Wanachojua ni LEO!! KESHO kwao wala sio mjadala.Itakuja tu yenyewe tu!!..


UBaya sasa wao wanapocheza cheza uchi wanafikir unawataman muda wote kumbe wewe unawoangalia halad unaangalia future zao unakosa majibu.UNAWAONEA HURUMA SANA SANA lakin wao WANA ENJOY FUN MOMENTS!!

kwakwel huwa inafikirisha sana.
ila anyway , nadhan hayatuhusu sana.View attachment 2660556
Don’t get involved in people’s drama & dysfunction. There’s a lot of that going on nowadays. As much as they try to engage you Ili kukutamanisha, take a step back. If they’re reasonable you could try advising them. Else, stay clear or you could lose your peace altogether.
 
Nimekuja kugundua kuwa yamkini Tunawaonea sana huruma watu ambao kwa namna moja au nyingine wala hawajal maisha yao kabisaa.

Juz kati nikiwa naelekea Arusha nikawa nachek tv, nimekaa kwenye bas wameweka vidoeo ya Jux ile Sugar Dady, (mimi sio mpenz wa kuangalia hiz video za vijana wetu kwakua nying ni za hovyo hovyo).
Bas kwakua hakuna namna ndio safar tena kilometa za kutosha inabid uzuge tu kuangalia.

BAsi nikawa nawangaliaaaa wale madada kwenyw hiz video za amapiano za kibongo bongo wanavyo cheza cheza uchii wanajibinua binua matako wazi meusiiii wengine meupeeee nyege zinanipanda na kushuka ila no sweti.

Mwisho nikajiuliza hivi hawa HUWA WANAPATA HATA MUDA WA KUFIKIRI KUHUSU MAISHA YAO YA MIAKA 3 HADI 5 MBELE ITAKUAJE??

Wanajua wataishije ?
Maaana hapa wanapata soko kwenye video za wasanii kwakua shape bado ziko intact na zinalipa ila kila siku kuna ingizo jipya sokoni watoto wabichi bichi (container mpyaaa zinashuka) wanaingia hawa soko linaisha..
Hiv haya mambo wao wanayawaza kweli?
Hiv huwa wanapata hata muda wa kutafuta idea juu ya nini wanaweza fanya ili angalau wa invest muda wao huko ili angalau wawe na kipato endelevu hata kama kidogo????

Hiv haya matako wanayo binua binua watakapokua certified single mazers hapo mbele ya safar watoto wao watazitazamaje?? Maana kwa maisha yao wanaishi ni a guarantee kwamba they r never gonna mary someone and settle for marriage life!..

Hiv hawa wataishije hawana sustainale plans juu ya maisha yao wenyewe, achana na maisha ya watoto wanaoweza kulazimika kuwazaa baada ya kupata mimba na kushindikana kuzitoa (maana ndio mfumo wao wa maisha-ila huwa inafika time no way lazima uzae).

Hiv kwel hawa wanawake na mabinti huwa wanawaza nini kwenyw akili zao.Sometimea unatamani ungefumua vichwa vyao japo uone ni madudu gani wamejaa kwenye bongo zao labda uwasaidie kuwaondoa labda watakaa sawa!!!. Yan kuna muda unatamani kama kungekua na namna ya ku resett vichwa vyao to default setting ila ndio hivyo haiwezekani.

Kwamfano binadamu mwingine average siku inapoisha ni kawaida kulala na hata kutembea na mawazo kama
  • ule mzigo pale bandari nautoaje?
  • kwann wateja wamekata dukani?
  • kesho naanzia wapi kutafutia wateja wa hudima yangu?
  • nimtafute nani wa kunisaidia kumaliza proposal yangu ya biashara nikachykue mkopo bank???
  • n.k n.k


Sasa nikawaza hivi hawa wanawake wanaocheza cheza uchi matako nje nje kwenye hiz video huwa wanawza nini kichwan wanapoamka? Au siku inapoisha?? Au wanapolala ?? Huwa wanawaza vitu gani hawa mabinti zetu???

Yan unajikuta unajitwisha mzigo wa kuwazaaaa kwa ajil yao unaingia kwenyw mawazo sana ila wao hataaaa hawana was was ..Wanachojua ni LEO!! KESHO kwao wala sio mjadala.Itakuja tu yenyewe tu!!..


UBaya sasa wao wanapocheza cheza uchi wanafikir unawataman muda wote kumbe wewe unawoangalia halad unaangalia future zao unakosa majibu.UNAWAONEA HURUMA SANA SANA lakin wao WANA ENJOY FUN MOMENTS!!

kwakwel huwa inafikirisha sana.
ila anyway , nadhan hayatuhusu sana.View attachment 2660556
"Small minds discuss people".
Kunengua ni kazi kama kazi nyingine. Wewe na ualimu wako humfikii kwa kipato chake.
 
Ukikaa kufikiria akili za mwanamke utaumia sana, mwanamke anaweza kufanya chochote ilimradi kufurahisha kadamsi au mwanaume na yeye bila kunufaika na chochote, na wengi wako hivyo.Watafute wachenza ngoma utashangaa, anaweza kucheza ngoma malipo ikawa ni chakula na bia tu.
 
"Small minds discuss people".
Kunengua ni kazi kama kazi nyingine. Wewe na ualimu wako humfikii kwa kipato chake.
Oohoh..Haya ila mimi mtu akishaanzaga kuleta giv vi misemo vya kwenye Meme huwa heshima kidogo naishusha nakuanza kumuona kama hayuko sawa.

Anyway tuyaache hayo.Mimi sio mwalimu ila mke wangu wa ndoa ni mwalimu na mwangu wa kwanza aliyeko sekondari japo huwa nashindwa kumuelewa ila pia anasema anapenda kuwa mwalimu na sitamzuia.
Kwahiyo , kwasababu hzi 2 nawaheshim sana waalimu.

Ila sasa huyu mwalimu unayesema anazidiwa na hao wakata viuno mwenzako ana
  • social security
  • health security
  • reliable income (hata kma kidogo)
  • pension hata baada ya kustaaf kamlzi mpaka anakufa.

Huyu mnenguaji haya tuletee mfano wao hata mmoja tu kwa hapa bongo mwenye kuwa na benefits kama hizo
 
Back
Top Bottom