pingiring'ombe
JF-Expert Member
- Apr 3, 2008
- 386
- 1
Heshima mbele wakuu. Nimekuwa nikifikiria sana juu ya upeo wa mawaziri wetu ambao wana dhamana ya kuliongoza Taifa letu kwenda kwenye Maisha Bora kwa kila Mtanzania. Hapa ntatoa mifano miwili tu (iliyonigusa na current ones)
1. Nilisikiliza mahojiano kati ya mheshimiwa mkuu sana wa habari na MMKJ kupitia KHL News (nafikiri wengi wetu tulisikia alivyojibu maswali ya MMKJ) Kwa kweli kama upeo wa mheshimiwa huyu ndio huu kazi tunayo.
2. Nimesoma Mtanzania Daima la jana trh 17 nikakuta "maajabu mengine ya waheshimiwa wetu. Safari hii ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Selina Kombani. Kombani kasema migomo ya inayoendelea Tanzania (Walimu, vyuo, mabenki et al) inafadhiliwa na wazungu Mlishaona wapi Wazungu wakishiriki maandamano, lakini hapa nchini, Wazungu wamekuwa wakishiriki maandamano na hawa ndio wafadhili wa yote haya, alisema Kombani.
Wakuu, kwa kweli mimi nimekata tamaa KABISA na hawa viongozi wetu. Nyerere alisema moja ya vitu muhimu kwa maendeleo ya nchi ni viongozi bora (Hapa ndipo Tanzania ina tatizo: Nafikiri tuna Bora Viongozi).
Wakuu, need change of wich without? Tanzania will remain the same NO MATTER WHAT...
1. Nilisikiliza mahojiano kati ya mheshimiwa mkuu sana wa habari na MMKJ kupitia KHL News (nafikiri wengi wetu tulisikia alivyojibu maswali ya MMKJ) Kwa kweli kama upeo wa mheshimiwa huyu ndio huu kazi tunayo.
2. Nimesoma Mtanzania Daima la jana trh 17 nikakuta "maajabu mengine ya waheshimiwa wetu. Safari hii ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Selina Kombani. Kombani kasema migomo ya inayoendelea Tanzania (Walimu, vyuo, mabenki et al) inafadhiliwa na wazungu Mlishaona wapi Wazungu wakishiriki maandamano, lakini hapa nchini, Wazungu wamekuwa wakishiriki maandamano na hawa ndio wafadhili wa yote haya, alisema Kombani.
Wakuu, kwa kweli mimi nimekata tamaa KABISA na hawa viongozi wetu. Nyerere alisema moja ya vitu muhimu kwa maendeleo ya nchi ni viongozi bora (Hapa ndipo Tanzania ina tatizo: Nafikiri tuna Bora Viongozi).
Wakuu, need change of wich without? Tanzania will remain the same NO MATTER WHAT...