Julius Kaisari
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 1,176
- 675
Hili nalo ni la kushangaza. Hivi kipi chenye thamani, HIJABU au UHAI wa binadam aliyeumbwa na Allah? Mbona sijawasikia Bakwata au shura ya Maulamaa? Mufti Simba upo wapi? Kondoo zako wanachinjwa wewe unakalia kiti cha kuzunguka. Naomba mwenye ''Ilmu'' aje atueleze kama hijabu inathamani kuliko uhai wa mwislam kijana yule aliyeuawa kinyama.