Je hii ni sawa: I am busy so as my lady..

Je hii ni sawa: I am busy so as my lady..

Hii ngumu ila ni rahisi pia,mwahitaji muda wa kuongea zaidi na kuweka mambo yenu sawa

tatizo huo muda ndo hawana wa kukaa chini ......mi nilikuwa natarajia wangeweza kuongea kwenye simu kumbe hata simu ni dk 15 basi duh....
 
Hilo ni suala la kukaa na kuongea mkubwa,sema nae itakuwa poa zaid mkubwa,LAKIN hapo kwenye mawacliano pananipa hofu.
 
Hahahahaha, kunyonyesha tena????!!!

Unajuwa ni pale ambapo, dogo inabidi aachishwe nyonyo ili mama aende semina elekezi Ngurudoto miezi mitatu,
kinachofata ni kula "nyonyo chupa" tu. Maza akiwa A town itabidi akuulize baba! HIvi we baba nanii mtoto kanyonya leo?

Hapo ndipo zamu ya baba ya kunyonyesha inakuwaga!
 
Back
Top Bottom