rafikimkweli
JF-Expert Member
- Sep 5, 2013
- 349
- 121
Ingawa tuna plans za marriage, lakini tatizo and i am worried about this ni kua, we are very busy and we barely communicate through the day, we only talk or text each other for only 15 mins na hiyo ni saa 4 usiku tu, ila all the day kila mtu na hamsini zake, on the weekends labda we meet jumamosi tu, kila mtu na hamsini zake, kuna wakati really na miss ile soft part of a woman in her, maana wote ni watu wa kazi i mean kila mtu anapigana haswa..sasa nafikia mahali nawazia hii ndoa itakua ya namna gani kama mwanamke niliye naye kama dume tu kwenye utafutaji...ingawa tunapendana na tuna future plans..really nahitaji kupata ile nafsi ya pili ya mwanamke laini na mbembelezaji sio 24/7 ni kua serious tu...what should i do...