BongeMwepesi
Senior Member
- Aug 13, 2013
- 125
- 83
Habari wanajf,nimeoa yapata miezi 4 sasa na wife ni mjamzito wa miezi mitatu,sasa hali yake hii imemfanya awe anatapika sana na anatema mate sana,sasa siku za karibuni na mie nimejikuta kila nikiamka asubuhi lazima nitapike na najisikia kichefuchefu na nashikwa na usingizi muda wote hali hii imeanza kama wiki mbili zilizopita na inaendelea je kuna tatizo nimepata au hali hii utokea pia kwa watu wengine?naomba ushauri na uzoefu wako rafiki...asante