data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,945
- 23,891
Mi siongei kitu mkimaliza niiteni nisahihishe mjadala wenu.
nita conclude..
Mi siongei kitu mkimaliza niiteni nisahihishe mjadala wenu.
jiandae kufa sasa wewe kabla jamabazi ajamuwahii ...... ila kiukweli kwa ubahili awajambo loh!!!!!!!!!!!! ukijua pa kuwashika unazichukua zoteKaka zako ndio wameleeeeewa kwelikweli, kila siku wao ni kujiua kwa risasi na kuchoma nyumba.
Mi nilikuwa na bwana wa kichagga, mapenzi hajui,bahili na ana wivu ile mbaya, nikamwambia babu ehh, nimepata bwana jambazi, jipendeke akuvunjie duka lako.
![]()
Picha ya Msichana na Mvulana waliojinyonga Kwa Pamoja Juu ya Mti Baada ya Kukataliwa na Wazazi wao Wasioane Kisa ni Kutoelewana kwa Familia Hizo.....JEEEEE ____????
A)NDIO DAWA
B)UJINGA
C)NDIO MAPENZI YA KWELI
Tena ni ujinga kubwa.B.Ujinga
Yote A,B na C yaweza kuwa majibu sahihi kwa mitazamo tofauti na wakati tofauti
Mapenzi mengine nani huwa kazini?Shetani kazini
Mapenzi mengine nani huwa kazini?