Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,086
- 6,568
Nimekaa na kutafakari juu ya siasa za Tanzania. Maana ni kama zimekosa muelekeo kabisa
Je, ina maana Spika Ndugai na bunge lake waliapisha Wabunge ambao hawajapata baraka ya chama chao kuwa wabunge wa viti maalumu?
Kwa nini Spika alijigamba kuwa anawatambua hawa wakina mama wa Chadema ili hali akijua ni kinyume na katiba ya JMT?
Spika alijisahau kuwa katiba ya JMT imetamka wazi kuwa mbunge akikoma kuwa mwanachama anakosa sifa ya kuwa mbunge?
Je, kwa ubabe aliouonyesha na kudai atawalinda kwa udi na uvumba,haoni kama wamemuumbua.
My opinion, kiongozi ni mtu kwenye dhamana katika jamii,kama anatakiwa kusimamia haki basi anatakiwa asiwe na double standard. Maana wamama waliofutwa ubunge Chadema leo wanaweza kuwa wamemtia mtu nishai.
Je, ina maana Spika Ndugai na bunge lake waliapisha Wabunge ambao hawajapata baraka ya chama chao kuwa wabunge wa viti maalumu?
Kwa nini Spika alijigamba kuwa anawatambua hawa wakina mama wa Chadema ili hali akijua ni kinyume na katiba ya JMT?
Spika alijisahau kuwa katiba ya JMT imetamka wazi kuwa mbunge akikoma kuwa mwanachama anakosa sifa ya kuwa mbunge?
Je, kwa ubabe aliouonyesha na kudai atawalinda kwa udi na uvumba,haoni kama wamemuumbua.
My opinion, kiongozi ni mtu kwenye dhamana katika jamii,kama anatakiwa kusimamia haki basi anatakiwa asiwe na double standard. Maana wamama waliofutwa ubunge Chadema leo wanaweza kuwa wamemtia mtu nishai.