Mji umekuwa mweupe, hakuna hata watu
Wale watu wote waliokuwa wamejaa mitaani wameenda wapi?
Natabiri uhamisho wa wakaazi wengi wa Darisalama kurudi mikoani walikotoka katika kipindi hiki, na wakiwa huko watajikuta na kuona fursa nyingi sana mikoani kwao kwa kuwa maisha walioshi Darisalama yamewafumbua macho na kujua kila shida za watu unazigeuza fursa.
Na wengi watajipata huko na hawatataka tena kurudi kwenye mateso ya kuishi Darisalama...
Uzi tayari.....
Wale watu wote waliokuwa wamejaa mitaani wameenda wapi?
Natabiri uhamisho wa wakaazi wengi wa Darisalama kurudi mikoani walikotoka katika kipindi hiki, na wakiwa huko watajikuta na kuona fursa nyingi sana mikoani kwao kwa kuwa maisha walioshi Darisalama yamewafumbua macho na kujua kila shida za watu unazigeuza fursa.
Na wengi watajipata huko na hawatataka tena kurudi kwenye mateso ya kuishi Darisalama...
Uzi tayari.....