Je Dangote ni muwekezaji mjanja mjanja?mbona na yeye alitaka kufungasha vilango?alifikia kipindi akasema hadharani kuwa hii nchi hata haieleweki leo anakuja huyu, anatoa maelekezo haya, unayafanya kesho anakuja mwingine tena anakwambia mengine, hata unashindwa ufuate lipi uache lipi?!!na yeye kosa lake kubwa lilikuwa kudai apelekewe gesi kama walivyokubaliana wakati wa kutiliana mkataba, wakamwambia asinunue makaa ya mawe toka Afrika kusini, haya akakubali basi akaanza kuagiza hayo makaa ya mawe toka mto chuma, na liganga akiagiza tani 2000, wanamletea tani 200!!kuwa ndio iliyopatikana tena baada ya muda mrefu!!huwezi ukamlazimisha muwekezaji anunue malighafi nchini wakati hazipatikani kwa kiwango kinachohitajika.shirika la ndege la fastjet nini kililikuta akafikiria kuwafukuza ndio atafanya biashara kirahisi,?