Beautiful Lady
Senior Member
- Jun 8, 2011
- 135
- 43
Mbona kama vile mwandiko wa mabango yote ni kama unafanana!??
Ama kweli, "ndio maana Kenya wanatudharau"
kweli kabisaaa. mwandiko wa mabango yote unafanana. itakuwa kaandika mtu mmoja.
Mbona kama vile mwandiko wa mabango yote ni kama unafanana!??
Ama kweli, "ndio maana Kenya wanatudharau"
Vyuo vikuu maana yake ni chuo zaidi ya kimoja kama hiyo ndio maana yake basi ni wachache sana.......#mtazamo.
Mbona kama vile mwandiko wa mabango yote ni kama unafanana!??
Ama kweli, "ndio maana Kenya wanatudharau"
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akipokea Vijana wa Shirikisho la CCM la vijana wa CCM wlioko vyuo vya Elimu ya Juu, walipofika leo kwenye Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Dar es Salaam, kumfikishia ujumbe wao kuhusu mawaziri na watumishi wa serikali wanaotuhumiwa kuhusika na upotefu wa fedha za umma.
Nape akisoma ujumbe kwenye moja ya mabango waliyofika nayo wanafuvyo hao.
Wanavyuo wakionyesha bango la kuwataka wasaidizi wa Rais kuwajibika inapobidi.
. Nape akisoma ujumbe uliloonyesha kumvutia zaidi kwenye moja ya mabango ya wanavyuo hao.
Vijana hao wakionyesha bango lenye ujumbe mahsusi kuhusu maana ya Mapinduzi.
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akizungumza na vijana wa Shirikisho la CCM la vijana wa CCM wlioko vyuo vya Elimu ya Juu, walipofika leo kwenye Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Dar es Salaam, kumfikishia ujumbe wao kuhusu mawaziri na watumishi wa serikali wanaotuhumiwa kuhusika na upotefu wa fedha za umma
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akipokea Vijana wa Shirikisho la CCM la vijana wa CCM wlioko vyuo vya Elimu ya Juu, walipofika leo kwenye Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Dar es Salaam, kumfikishia ujumbe wao kuhusu mawaziri na watumishi wa serikali wanaotuhumiwa kuhusika na upotefu wa fedha za umma.
Nape akisoma ujumbe kwenye moja ya mabango waliyofika nayo wanafuvyo hao.
Wanavyuo wakionyesha bango la kuwataka wasaidizi wa Rais kuwajibika inapobidi.
. Nape akisoma ujumbe uliloonyesha kumvutia zaidi kwenye moja ya mabango ya wanavyuo hao.
Vijana hao wakionyesha bango lenye ujumbe mahsusi kuhusu maana ya Mapinduzi.
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akizungumza na vijana wa Shirikisho la CCM la vijana wa CCM wlioko vyuo vya Elimu ya Juu, walipofika leo kwenye Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Dar es Salaam, kumfikishia ujumbe wao kuhusu mawaziri na watumishi wa serikali wanaotuhumiwa kuhusika na upotefu wa fedha za umma
katibu wa halmashauri kuu ya taifa ya ccm, itikadi na uenezi nape nnauye akipokea vijana wa shirikisho la ccm la vijana wa ccm wlioko vyuo vya elimu ya juu, walipofika leo kwenye ofisi ndogo ya makao makuu ya ccm, dar es salaam, kumfikishia ujumbe wao kuhusu mawaziri na watumishi wa serikali wanaotuhumiwa kuhusika na upotefu wa fedha za umma.
nape akisoma ujumbe kwenye moja ya mabango waliyofika nayo wanafuvyo hao.
wanavyuo wakionyesha bango la kuwataka wasaidizi wa rais kuwajibika inapobidi.
. Nape akisoma ujumbe uliloonyesha kumvutia zaidi kwenye moja ya mabango ya wanavyuo hao.
vijana hao wakionyesha bango lenye ujumbe mahsusi kuhusu maana ya mapinduzi.
katibu wa nec, itikadi na uenezi, nape nnauye akizungumza na vijana wa shirikisho la ccm la vijana wa ccm wlioko vyuo vya elimu ya juu, walipofika leo kwenye ofisi ndogo ya makao makuu ya ccm, dar es salaam, kumfikishia ujumbe wao kuhusu mawaziri na watumishi wa serikali wanaotuhumiwa kuhusika na upotefu wa fedha za umma