Sumbalawinyo
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 1,282
- 250
Simple...wanaandika vitu vyenye akili!Nimejiunga na jamii forums tangu mwezi wa tisa,
lakini kuna kitu nimejifunza hapa jamvini.
Kuna watu thread zao hata kama sio za moto zitaopewa thanks kibao, hadi utashangaa.
Nyani Ngabo, Mwanakijiji, First Lady .......
watu wa aina hiyo.
Je wao ni malaika wa hapa Jamii Forums?
Nimejiunga na jamii forums tangu mwezi wa tisa,
lakini kuna kitu nimejifunza hapa jamvini.
Kuna watu thread zao hata kama sio za moto zitaopewa thanks kibao, hadi utashangaa.
Nyani Ngabo, Mwanakijiji, First Lady .......
watu wa aina hiyo.
Je wao ni malaika wa hapa Jamii Forums?
i like this! Go girl, kama vp aite police.hahahahah ehehehe Gosh sijui kwa nini labda wewe unisaidie kama umeona hilo
FL1 Natokea Mbeya vijijini kabisa hata kijijini kwetu wanakijiji wananipenda labda nyota yangu inang'aa kama mchanga wa baharini ..
ila usiseme kama unakasirika kwa hilo😉ni vijimambo tu
2010 niko kikazi zaidi 😉
karibu JF
Ukiona hivyo ni wapwaazzz wa Rostam Aziz!!!!!!
i like this! Go girl, kama vp aite police.
Carmel watu wa haina hii ndo wale wanaowaza kupanda juu na kuzipa riziki za watu sipati picha
Sasa ndugu yangu kumbe hii ni post yako ya nne! Anyway, ngoja nikugongee senksi kuongezea ziwe nne.Sumbalawinyo
Junior Member
Join Date: Tue Sep 2009
Posts: 4
Thanks: 1
Thanked 3 Times in 1 Post
ndugu uliyeleta hii thread,
kanui za sosholojia zinatuambia kuwa kila palipo na kundi kubwa la watu rasmi, kama JF, ndani yake kuna vikundi vidogovidogo visivyo rasmi, kama hilo la wapwaaaaz. vikundi hivi huibuka tu bila kufuata kanuni yoyote, na hizo, yaani hutokea kwa bahati nasibu na kushamiri pia kwa nasibu. hivyo hata hizo thanks hutolewa kulingana na nafasi ya muhusika ndani ya kikundi kisicho rasmi na mara chache huzingatia uzito wa hoja. z
aidi ni kama alivyosema paka jimy kuwa wakati mwingine sio thanks pe se, bali just noted
ndugu uliyeleta hii thread,
kanui za sosholojia zinatuambia kuwa kila palipo na kundi kubwa la watu rasmi, kama JF, ndani yake kuna vikundi vidogovidogo visivyo rasmi, kama hilo la wapwaaaaz. vikundi hivi huibuka tu bila kufuata kanuni yoyote, na hizo, yaani hutokea kwa bahati nasibu na kushamiri pia kwa nasibu. hivyo hata hizo thanks hutolewa kulingana na nafasi ya muhusika ndani ya kikundi kisicho rasmi na mara chache huzingatia uzito wa hoja. z
aidi ni kama alivyosema paka jimy kuwa wakati mwingine sio thanks pe se, bali just noted
i like this! Go girl, kama vp aite police.
na wewe mwaka huu uko ki taarab zaidi
i like this! Go girl, kama vp aite police.