Niliingia mkataba na Kamati ya ujenzi kwa niaba ya halimashauri wa kujenga wodi ya wazazi kwenye kituo cha afya. Mkataba ulikuwa nijenge jengo kwa miezi mitatu.
Mimi kazi yangu ilikuwa kujenga na wao Kamati walete vifaa na kunilipa labour charge.
Sasa kazi imesimama ni mwezi wa tisa sasa, sababu hawaleti vifaa site, na kunilipa malipo yaliyobakia hawataki wanasema mpaka nimalize kazi, huku vifaa hawaleti.
Hapa unatakiwa kufanya nini?
Mimi kazi yangu ilikuwa kujenga na wao Kamati walete vifaa na kunilipa labour charge.
Sasa kazi imesimama ni mwezi wa tisa sasa, sababu hawaleti vifaa site, na kunilipa malipo yaliyobakia hawataki wanasema mpaka nimalize kazi, huku vifaa hawaleti.
Hapa unatakiwa kufanya nini?