Hivi kipindi kile cha phase 01 na phase 02 (wakuu wa kaya) kipindi hakuna teknolojia, wataalam walikuwa ni wa kuhesabu, elimu haba, usafiri mtihani na mambo kibao yalikuwa magumu na bado hovyo mbona wapo walio-rise na mpaka sasa wana legacy kubwa tu ingawa wao baadhi hawapo hai tena?! Mfano Marehemu Mzee Mengi, kina mzee Khimji n.k
ACHA KULAUMU!, FANYA KAZI KWA BIDII! ZIFUATE FURSA ZILIPO!, GUNDUA FURSA MPYA MAHALI ULIPO!, NIDHAMU YA KIDOGO ULICHONACHO HATA KIKUBWA!, ENDELEA KUJIFUNZA SIKU ZOTE!
Pia kumbuka msemo ule wa "Choosen from god!"
Vijana wa sasa kazi ni kulaumu sirikali tu