Abel Ndundulu
JF-Expert Member
- Sep 17, 2015
- 845
- 383
Mag3
Ungekuwa na busara ungesha ifuta thread yako. Mpaka leo hujui Dokta kakuza upinzani katika nchi hii.
Unaweza kufanya baya moja likafuta mema yoote.Nimeamini historia ni muhimu ktk uongozi.Mtu mwenye historia ya Usaliti,ataendeleza usaliti popote tena kwenye wakati mnapokuwa na uhitaji mkubwa.(Kanisa,Kamili,Fisiem na sasa M4C Original).
Last edited by a moderator: