matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 9,462
- 23,244
Rais ni mtumishi wa Mungu anayetumika katika kitengo cha kutawala watu kiserikali. Kwa mujibu wa ISAYA 49, watumishi wa Mungu wa KIROHO ni walezi wa wafalme na mamalikia na marais.
Kama Kuna chochote kisichofaa, ili kuepusha MADHARA ya baadae atatumwa mtumishi hata kutoka nje ya nchi ili kumpa Rais au wasaidizi wake nini cha kufanya.
Zoezi hilo halikufanyika KWA public broadcasting ( kupayuka hovyo Barabara au mitandaoni) bali moja KWA moja KWA muhusika na system yake. Wote waliotii walikula mema ya nchi.
Hii haikujalisha kama huyo Rais anamuamini au hamuamini Mungu maana wote huwa wanawekwa na Mungu hata kama kajiweka kibabe.
Mfano
Mtu wa Mungu alitumwa huko Dani na Betheli kumuonya Rais wa Israel kusini Yeroboamu.
Nathan aliingia Ikulu kumuonya Daudi.
YOHANA mbatizaji Aliingia Ikulu kumuonya Rais Herode mtoto wa herode mkuu.
Senakeribu kutoka Syria alipotaka kuivamia Israel Elisha alijulishwa akaingia Ikulu moja KWA moja na kutoa USHAURI ulioliokoa taifa.
Paulo aliingia Ikulu ya Cyplus kumpa maneno ya neema Rais Sergio Paulus aliyekuwa amezunguwa na Chawa mchawi.
Yona alihubiri Hadi Ikulu huko Ninawi na Rais akafanya maamuzi ambayo yaliokoa taifa
Kama kwetu ni kimya?
1: Je Mungu ameridhia utumishi wa Mama na anaunga mitano Tena?
2: Je nchi haina changamoto ya haraka ambayo halihitaji Mungu ahangaishe Bure watumishi wake?
3: Wanatumia kisirisiri na Kila malalamiko yako kwenye pipeline ya kushughulikiwa?
4: Watanzania hawana haja ya Mungu kuingilia kwenye mambo yao. Hivyo na yeye anasikilizia.
5: Malalamiko yetu ni kawaida kiasi cha kutohitaji uingiliaji wa Mungu. Na waombaji wote wameacha kuomba au wanaomba vibaya.
Ni hayo tu
Mtumishi Matunduizi.
Kama Kuna chochote kisichofaa, ili kuepusha MADHARA ya baadae atatumwa mtumishi hata kutoka nje ya nchi ili kumpa Rais au wasaidizi wake nini cha kufanya.
Zoezi hilo halikufanyika KWA public broadcasting ( kupayuka hovyo Barabara au mitandaoni) bali moja KWA moja KWA muhusika na system yake. Wote waliotii walikula mema ya nchi.
Hii haikujalisha kama huyo Rais anamuamini au hamuamini Mungu maana wote huwa wanawekwa na Mungu hata kama kajiweka kibabe.
Mfano
Mtu wa Mungu alitumwa huko Dani na Betheli kumuonya Rais wa Israel kusini Yeroboamu.
Nathan aliingia Ikulu kumuonya Daudi.
YOHANA mbatizaji Aliingia Ikulu kumuonya Rais Herode mtoto wa herode mkuu.
Senakeribu kutoka Syria alipotaka kuivamia Israel Elisha alijulishwa akaingia Ikulu moja KWA moja na kutoa USHAURI ulioliokoa taifa.
Paulo aliingia Ikulu ya Cyplus kumpa maneno ya neema Rais Sergio Paulus aliyekuwa amezunguwa na Chawa mchawi.
Yona alihubiri Hadi Ikulu huko Ninawi na Rais akafanya maamuzi ambayo yaliokoa taifa
Kama kwetu ni kimya?
1: Je Mungu ameridhia utumishi wa Mama na anaunga mitano Tena?
2: Je nchi haina changamoto ya haraka ambayo halihitaji Mungu ahangaishe Bure watumishi wake?
3: Wanatumia kisirisiri na Kila malalamiko yako kwenye pipeline ya kushughulikiwa?
4: Watanzania hawana haja ya Mungu kuingilia kwenye mambo yao. Hivyo na yeye anasikilizia.
5: Malalamiko yetu ni kawaida kiasi cha kutohitaji uingiliaji wa Mungu. Na waombaji wote wameacha kuomba au wanaomba vibaya.
Ni hayo tu
Mtumishi Matunduizi.