Roland Bushumba
Member
- Feb 6, 2012
- 6
- 1
Mimi nimemaliza form 4 mwaka jana na nimefaulu mitihan yangu vizuri.Comb. Ambayo ningependa kuendelea nayo kwa A'level ni PCM coz napenda kuwa engineer ila habari nilizozisikia kwa watu mbalimbali huwa wanasema ukiwa engineer kwa Tanzania unaweza kuzunguka na vyeti vyako bila kupata kazi.Je, kuna ukweli wowote?Na kwa engineering ni coz zipi nzuri?Naomba mnisaidie.