Je, Dkt. Kigwangalla amekata tamaa?

Je, Dkt. Kigwangalla amekata tamaa?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
137,647
Reaction score
272,454
FB_IMG_1586283494039.jpg

Hii ndio kauli yake baada ya mashambulizi kutoka pande zote baada ya ripoti ya CAG
 
Hapa " msongo wa mawazo" unahusika!

Alikuwa anamjibu nani kwa lugha hii isiyo ya kiuongozi na iliyopungukiwa shukrani na adabu kwa mteuzi!
hawapi, mkuu kuwaongoza watanzania yataka moyo sana japo viongozi wetu wana mapungufu lakini wananchi wengi ni wapuuzi sana, wakishatoka kuangalia picha za utupu (koneksheni) wanakuja kukupayukia hovyo.
 
hawapi, mkuu kuwaongoza watanzania yataka moyo sana japo viongozi wetu wana mapungufu lakini wananchi wengi ni wapuuzi sana, wakishatoka kuangalia picha za utupu (koneksheni) wanakuja kukupayukia hovyo
Hahahaaaaa....... Uongozi ni jalala bwashee.

Ukiona kiongozi anatamka neno " Nimechoka" ujue hapo hamna kiongozi tena!
 
View attachment 1411989

Hii ndio kauli yake baada ya mashambulizi kutoka pande zote baada ya ripoti ya CAG
To be honest, kutumia fedha ambayo haijaidhinishwa na Bunge ni grave financial deviation and misconduct. Kama Bunge halitamchukulia hatua then ile kauli ya Prof Mussa Assad itajidhihiri tena kuwa "Bunge ni Dhaifu"

Zile institutions zilizo chini ya Wizara ya Utalii yaani TANAPA, NCAA, TAWICO, zimekuwa zikilazimishwa kutoa fedha ambazo Wizara haina kasma.

Kwa ajili ya kumuwezesha Kigwanga ku- hang out na akina MwanaFA au Shilole au Steve Nyerere. Yawezekana hizo institutions zimekuwa fed up na Kigwanga na ndiyo zimetoa data kwa CAG ili kumtuliza Waziri kwenye huo ukamuaji.

Kigwanga kwa kweli alikuwa hajawiva kuwa Waziri kamili kwa Wizara nyeti kama hiyo aliyonayo.
 
hawapi, mkuu kuwaongoza watanzania yataka moyo sana japo viongozi wetu wana mapungufu lakini wananchi wengi ni wapuuzi sana, wakishatoka kuangalia picha za utupu (koneksheni) wanakuja kukupayukia hovyo
Unamaanisha wakimaliza kuangalia picha za pilau na akili zao zinapinduka hivyo hivyo mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom