Je, Dini ni Sawa na Vyama?

Je, Dini ni Sawa na Vyama?

Tsyamatsy

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2023
Posts
310
Reaction score
459
Chama chochote kiwe cha Siasa au kikundi katika Jamii kinakuwa na Katiba na miongozo yake, na iwapo unahitaji kuwa mwanachama wake inabidi ufuate masharti, taratibu na miongozo yake, na kinyume cha hapo inabidi ujitoe na usipojitoa watakufukuza.

Katika Dini, upande wa sisi wakristu iwapo umekwenda kinyume wanakutenga, huku kukutenga jamani naona ni Sawa na kukufukuza.

Kwa nini iwe Hivyo kwenye Imani za kiroho? Nadhani Hukumu haachiwe Mungu.
 
Back
Top Bottom