johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,923
- 141,889
Nimemsikia waziri mstaafu Nchemba akisema wakati ajali inatokea alikuwa akiongea na simu ndio ghafla wakatokea punda watatu na kishindo kikuu.
Najiuliza tu dereva kahojiwa maana yasije yakajirudia yale ya Tundu Lisu ya kuanza kumtafuta dereva baadae!
Ni hako kaswali tu
Maendeleo hayana vyama!
Najiuliza tu dereva kahojiwa maana yasije yakajirudia yale ya Tundu Lisu ya kuanza kumtafuta dereva baadae!
Ni hako kaswali tu
Maendeleo hayana vyama!