GIPAMA
JF-Expert Member
- May 21, 2016
- 1,103
- 541
Wakuu habari, mfano mwanamke akawa majamzito, wakaweka makadilio kuwa atajifungua tarehe fulan, mfano tarehe 20.04.2019, Je dalili za uchungu kuanza, zinaweza kuanza wiki moja kabla ya siku ya makadilio!? Je dalili hizo zinaweza kudumu mpaka ikafika tarehe aliyokadiliwa ndio akajifungua!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app