Kitu gani ambacho hawamiliki? Kilichobakia sasa ni ku centralize pesa, ili waweze ku control matumizi ya mtu mmona mmoja. Pesa ikiwa mfukoni kwako hawataweza, inapaswa kuwa digital ili iwe rahisi kudhibiti.
Kitu gani ambacho hawamiliki? Kilichobakia sasa ni ku centralize pesa, ili waweze ku control matumizi ya mtu mmona mmoja. Pesa ikiwa mfukoni kwako hawataweza, inapaswa kuwa digital ili iwe rahisi kudhibiti.
Hivi ni nani aliyeleta haya mafundisho ya uongo kuwa crypto as a digital currency inatawalika? Someni vizuri katka mfumo wa kipesa hasa hii aina ya digital money iliopo katka Crypto ni ngumu kucontroll maana haina watu kati(middle man) wala mtu wa kufuatilia michakato yake na identity ya wanaofanya miamala(centralized system) wala wanaoimiliki, hivyo ni ngumu kutrace identification/location kwaiyo haina sifa kama mlizoaminishwa kuwa sijui freemason wataitumia na upuuzi mwingine.
Hao wanaotaka kutawala dunia hawawezi tumia mfumo unaompa uhuru mtu, bali mfumo wa kumkandamiza na kumuwekea ugumu wa kuwatoroka, tofauti na Cryptocurrency ambayo kuna uhuru wa kifedha na ngumu kuwa katka control ya mtu kivyovyote vile labda ufanye uzembe mwenyewe.
Tatu, hiyo alama ya triangle inayoonesha jicho katikat wala haihusiani na hao mashetan sijui freemason mnaoaminishana vijiweni, bali ni alama ilishakuwepo kitambo hata kabla ya hao wahuni secret societies,
Hiyo alama ilitumika kama mfano wa watu walio na maarifa ama walioangaziwa maarifa kiakili au kiroho na maarifa yenyewe yanaweza kuwa mafunzo ya utabibu, ualimu, ufahamu wa masuala ya kitechnolojia na elimu ya anga+nyota, ndiomaana hata babu zetu waliitumia katika ujenzi wa pyramids na majengo mengine mengi,
Hivyo acheni kuharibu maana ya mambo kwa kuhusisha na upuuzi wa vikundi vya watu wachache wanaojipa umiliki wa vitu visivyowahusu, kama waliharibu maana ya upinde wa mvua wasingeshindwa kuharibu maana ya jambo linalohusu muamko wa maarifa kwa kuliita ushetan ili kuwafanya watu waliogope na walikatae.
Amkeni jamani