Nimekuwa nikifuatilia sana malalamiko yanayotolewa na ima viongozi au wanachama hai na mfu kuhusu malalamiko mengi juu ya CCM. Sasa napenda kuuliza, iwapo kama CCM ikiwatimua mafisadi wote na ikafanya yale yote ambayo cdm mnalalamikia, je mtakuwa tayari wote kurudi CCM?
Kwa swali lako baada ya CCM kufanya hayo au kutimiza matakwa ya walalahoi baada ya kujisafisha hakuna haja ya CDM kurudi CCM.Kwani kujisafisha kwa CCM bila kuivunja CCM haiwezekani.Ninaloshauri mafisadi wote sheria ichukue mkondo wake na kwa wale safi watakaobaki wajiunge na CHADEMA au waunde chama kingine au wajiunge na vyama vingineNimekuwa nikifuatilia sana malalamiko yanayotolewa na ima viongozi au wanachama hai na mfu kuhusu malalamiko mengi juu ya CCM. Sasa napenda kuuliza, iwapo kama CCM ikiwatimua mafisadi wote na ikafanya yale yote ambayo cdm mnalalamikia, je mtakuwa tayari wote kurudi CCM?
Nimekuwa nikifuatilia sana malalamiko yanayotolewa na ima viongozi au wanachama hai na mfu kuhusu malalamiko mengi juu ya CCM. Sasa napenda kuuliza, iwapo kama CCM ikiwatimua mafisadi wote na ikafanya yale yote ambayo cdm mnalalamikia, je mtakuwa tayari wote kurudi CCM?