Nimekuwa nikifuatilia sana malalamiko yanayotolewa na ima viongozi au wanachama hai na mfu kuhusu malalamiko mengi juu ya CCM. Sasa napenda kuuliza, iwapo kama CCM ikiwatimua mafisadi wote na ikafanya yale yote ambayo cdm mnalalamikia, je mtakuwa tayari wote kurudi CCM?