Je CCM ya sasa ni genge la biashara za kifisadi?

Je CCM ya sasa ni genge la biashara za kifisadi?

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
9,615
Reaction score
15,024
Tujiulize ni watu wangapi wanagombea kwa kujitolea kwao kwa jamii na wangapi wanagombea kwa kujinufaisha!!

Tofauti ya Chadema ya Lissu na CCM ni hapo
 
Siasa ni Biashara Duniani kote ila wanacho kifanya wazungu ktika jamii zao wao wanang'ata na kupuliza na wanapo Kula na kiopofu wanampatia nyama 5 wao Wanakula nyama ishirini hiyo inamfamya kipofu aridhike na kujiona kuwa ana pendwa na kithaminiwa lakini viongozi wa Africa wao Wanakula na kipofu na kumshika kabisa mikono na mwisho wa siku Wana mfukuza kabisa Kwa kumwambia hatuwezi Kula na wewe
 
Our politicians needs the ability to foretell what is going to happen tomorrow, next week, next month, and next year. And to have the ability afterwards to explain why it didn't happen....😜
 
Wengi wanagombea kwa maslahi yao binafsi ya kujinufaisha, kiufupi hakuna mwenye Nia ya kutumikia na kutatua matatizo ya wananchi
 
Back
Top Bottom