JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,018
..kwa muda mrefu sasa waTz tumekuwa tukiambiwa ccm ndiyo Baba wa vyama vya ukombozi kusini mwa Afrika.
..kama hoja hiyo ina ukweli basi bila shaka watakuwepo makada wa ccm wanaotambulika kuwa walipigana bega kwa bega na wapiganaji wa vyama kama FRELIMO, MPLA, ZANU, ZAPU, SWAPO, ANC na PAC.
..na inawezekana bahati mbaya wapo makada wa ccm waliofariki ktk vita ya ukombozi. Je, makada hao ni kina nani? Wamezikwa wapi?
..na kama hakuna taarifa zao, Je, nitakuwa nimekosea nikisema kwamba madai kuwa ccm imeshiriki ktk vita vya ukombozi kusini mwa Afrika ni uzushi?
cc Mzee Mwanakijiji, Nguruvi3, KARLO MWILAPWA , Magonjwa Mtambuka , tindo, Salary Slip
..kama hoja hiyo ina ukweli basi bila shaka watakuwepo makada wa ccm wanaotambulika kuwa walipigana bega kwa bega na wapiganaji wa vyama kama FRELIMO, MPLA, ZANU, ZAPU, SWAPO, ANC na PAC.
..na inawezekana bahati mbaya wapo makada wa ccm waliofariki ktk vita ya ukombozi. Je, makada hao ni kina nani? Wamezikwa wapi?
..na kama hakuna taarifa zao, Je, nitakuwa nimekosea nikisema kwamba madai kuwa ccm imeshiriki ktk vita vya ukombozi kusini mwa Afrika ni uzushi?
cc Mzee Mwanakijiji, Nguruvi3, KARLO MWILAPWA , Magonjwa Mtambuka , tindo, Salary Slip