Je CCM Imekodi wazungu wa Finland Kumchafua Dr.Slaa?

Wana JF kwa ulewa wangu kidogo wa mawasiliano ya simu za mkononi ni kwamba mtu ye yote ambae anataka kutangaza/kusambaza ujumbe wo wote (wa kheri/kibiashara kwa wote wenye simu za kampuni fulani) anaweza akakubaliana na kampuni husika na wakiridhika na kulipwa wakautuma wao (kampuni ya simu) na nadhan TCRA pia wanaweza kumpatia mtu au kampuni ikatuma ujumbe -. Nilipata ujumbe kutoka TAKUKURU wiki kama 3-4 zilizopita na nadhani walifuata utaratibu kama huo hapo juu. LOGICALL then ni kwamba mkuu wa kaya na watu wake wametumia mbinu hizo na kuweza kusambaza ujumbe mbovu/mchafu. wasitake kutufanya wajinga eti wanachunguza! wanajua chanzo na lengo ILA lengo lao halitofanikiwa kwani watanzania walio wengi sasa hatudanganyiki.
 
Hakuna cha wazungu wa Finland wala nini. Hawa ni watanzania kama sisi ambao bado wana mawazo mgando ya kuamini kuwa ni wenyewe peke yao wenye haki ya kuwaongoza watanzania wengine.

Muda si mrefu mtawajua ni akina nani waliotuma sms hizo.
 
Hiyo namba si ya mkononi bali ya mezani. Kuna simu za mezani ambazo unaweza kupokea na kutuma sms!! Ni kweli simu za mkononi Finland zinaanzia 40... na 50... Kwa vigezo hivi haifuti ukweli kuwa simu inatoka Finland. Vema serikali ya Finland ikaingilia hili kwani inachafua hadhi yao na kuwaweka katika hali ya kukosa usalama kimtandao iwapo mtu amefyongoa country code yao.
 


Kwani huko finland hakuna watanzania?, mzungu gani atazungumza ujinga huo?
 
Mzungy hawezi mchafua Dr.W.Slaa rejea mapokezi ya kihsoria aliyofanyiwa ndani ya aridhi ya america.
Wakamtangaza km mtu anaemkaribia hayati nelson mandela kwa uongozi wa kisiasa,japo kuna viongoz wengne kila week wapo kule wanaishia kusubiriwa na mabalozi tu
huyo atakuwa w.ngeleja katuma,maana nilisikia yupo nch za scanavia
 
Last edited by a moderator:
Dk wilbroad slaa ni chaguo la watanzania.hakuna shaka kuwa anawaumiza kichwa wapenda dhuruma na chama cbao chakavu.2015 lazima kielewekeb
 
Niko hapa finland na hiyo number ni ya kampuni inayoitwa sonera au dna ngoja niwaambie wabongo furani hapa ili tuanze kumtafuta ni nani.kulikuwa na madiwani kutoka majimbo huko tanzania na inawezekana kuna jamaa mmoja ccm jina ngoja kidogo utafiti
 
Hiyo number imefungwa lakini nitakwenda kuchukua form na nitajaza kisha nitawapa number na wataiproces kisha atajulikana kana alinunu R.kiosk au laa kitu simple
 
Sio lazima sms iwe imetokea finland mkuuu,siku izi teknolojia yaweza fanikisha utengenezaji na utumaji sms ikaonekana imetoka sehem yoyote na namba yoyote duniani,zaidi kasome spoofsms.com
 
Kwikwi we ni mgeni wa teknolojia.... hiyo SMS kuna uwezekano wametengeneza wenyewe il I kumpaisha tuu Slaa maana hata Yericko alisha sema umaarufu wake umeporomoka .

Hiyo sms ina Ukweli
Muulize Slaa kama lile kontena la liko wapi?
Muulize Yale mabomba ya gas yaliyo pitishwa baharini kupeleka gas ulaya yamefikia wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…