Je, Captain Tesha ni nani?

Samia kuvisit social medias nafikiri alifanya kipindi kile mwanzoni mwanzoni bado anatusoma wabongo akili zetu ziko vipi, maana huku mitandaoni ndio huwa tunaweka hisia zetu halisi.. nafikiri hapo hata wana mtandao walikuwa bado hawajaanza kumuendesha kma gari bovu.... siku hizi sidhani kma Samia ana muda hata wa kupita mitandaoni kusoma comments za wabongo, sana sana tu atakuwa anapewa taarifa za mawazo waliyonayo wabongo na machawa akina Msigwa ambao nao bila shaka wanampa za uongo ajione anakubalika.

Ukimskiliza Samia jinsi vile anavyoongelea uthabiti wa vyombo vya dola, unaona kabisa yuko tayari kuingia kwenye vita dhidi ya wanainchi hili aendelee kubaki ikulu.

Samia kama ana akili awapuuze wana mtandao na kufanya maamuzi sahihi bado mapema.
 
kwahio na wewe uliamini kweli yule ni mtoto wa usalama? alafu unatakiwa uelewa dunia inaendeshwa kwa mfumo wa capitalism wachache wapate haiwezekan wote wapate, kila mtu akiwa tajiri uchumi unaharibika wote izo porojo wanasiasa wanawajaza ni kukosa elimu na kua mlimbuken
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…