Samia atosha tukutane2030
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 17,168
- 48,681
Kitendo cha Bunge la ULAYA kukaa kujadili mambo yaliyopaswa kujadiliwa na bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzania maana yake bunge la Tanzania ni useless?
Mhimili mfu?
Au ni bunge linalotumikishwa na mhimili mmoja wapo ?
Bunge la kusifu na kuabudu?
Kama Dar es salaam hii ambapo ni kitovu cha biashara watu wanashindia mihogo na maji ya mia hali ikoje huko mikoa mingine?
Wabunge wao wako Dodoma kutwa kutwa wakimsifu Rais ili majina yao yasikatwe kwenye kura za maoni.
Bunge lifutwe, wakurugenzi wa wilaya, miji na manispaa watafanya kwa ufasaha kazi za wabunge za kimaendeleo na zile za kisheria wizara ya sheria watazifanya .
Sheria gani ya kutungwa na mtu wa kusifu na kuabudu?
Sheria gani ya kutungwa na STD 7?
Tuache MASIHARA
Mhimili mfu?
Au ni bunge linalotumikishwa na mhimili mmoja wapo ?
Bunge la kusifu na kuabudu?
Kama Dar es salaam hii ambapo ni kitovu cha biashara watu wanashindia mihogo na maji ya mia hali ikoje huko mikoa mingine?
Wabunge wao wako Dodoma kutwa kutwa wakimsifu Rais ili majina yao yasikatwe kwenye kura za maoni.
Bunge lifutwe, wakurugenzi wa wilaya, miji na manispaa watafanya kwa ufasaha kazi za wabunge za kimaendeleo na zile za kisheria wizara ya sheria watazifanya .
Sheria gani ya kutungwa na mtu wa kusifu na kuabudu?
Sheria gani ya kutungwa na STD 7?
Tuache MASIHARA