Je Bunge la Katiba Kurushwa 'Live' kupitia Redio na TV?

Zanzibar-ASP

JF-Expert Member
Nov 28, 2013
10,129
35,148
Siku chache kutoka sasa Bunge la Katiba litaanza rasmi mkoani Dodoma. Watanzania wengi sana tungependa kusikia au kuona moja kwa moja mijadala yote ya Katiba katika Bunge hilo kupitia wajumbe mbalimbali wanaotuwakilisha.

Mpaka sasa bado sijasikia utaratibu wowote wa kurushwa kwa matangazo hayo, yaani kuna ukimya fulani kutoka mamlaka husika!!

Binafsi nitapinga ukiritimba na urasimu wowote katika kurusha matangazo hayo, ambao mara zote umekuwa ukifanywa na serikali katika matukio muhimu ya kisiasa kama Matangazo ya vikao vya bunge.

Wadau wote tunapenda kupaza sauti zetu kutaka kusikia sasa ni utaratibu upi utatumika katika kutangaza ama kuonyesha matangazo hayo moja kwa moja.
 
Siku chache kutoka sasa Bunge la Katiba litaanza rasmi mkoani Dodoma. Watanzania wengi sana tungependa kusikia au kuona moja kwa moja mijadala yote ya Katiba katika Bunge hilo kupitia wajumbe mbalimbali wanaotuwakilisha.

Mpaka sasa bado sijasikia utaratibu wowote wa kurushwa kwa matangazo hayo, yaani kuna ukimya fulani kutoka mamlaka husika!!

Binafsi nitapinga ukiritimba na urasimu wowote katika kurusha matangazo hayo, ambao mara zote umekuwa ukifanywa na serikali katika matukio muhimu ya kisiasa kama Matangazo ya vikao vya bunge.

Wadau wote tunapenda kupaza sauti zetu kutaka kusikia sasa ni utaratibu upi utatumika katika kutangaza ama kuonyesha matangazo hayo moja kwa moja.

Huenda likarushwa live. Ni tukio kubwa sana!
 
Tena tbc, vyombo vya taifa. Sasa wale jambajamba wanaodai ni vya ccm tuone kama hawatafuatilia wasubir kuhabarishwa na yale magazeti yao ya udaku'
 
Huenda likarushwa live. Ni tukio kubwa sana!

kibunda tuache hisia bali tunataka uhalisia, Kila mtanzania anapenda hivyo, lakini je ni kweli litarushwa live? Nani Kasema?

Tunataka mamlaka husika(Serikali, Ofisi ya Bunge nk) waje hadharani watuambie kama litarushwa 'live' na kwa utaratibu upi? Je kutakuwa na Urasimu na Ukiritimba?
 
Last edited by a moderator:
Hili bunge la matusi walisitisha kurusha matukio moja kwa moja kipindi fulani sasa sijui kama hili serious watathubutu...sina hakika
 
Bunge la katiba likirushwa live tu tutapata katiba mbovu.

Wajumbe watajitahidi kuongea yale tu yanayowafurahisha wafuasi wao ambao watakuwa wanaangalia bunge badala ya kuongelea yale yenye umuhimu kwa taifa letu.

Hili bunge lifanye vikao vyake kwa siri kama ilivyokuwa tume ya katiba.

Jambo lolote linaporushwa live ni ngumu sana wahusika kufanya compromise.
Siku chache kutoka sasa Bunge la Katiba litaanza rasmi mkoani Dodoma. Watanzania wengi sana tungependa kusikia au kuona moja kwa moja mijadala yote ya Katiba katika Bunge hilo kupitia wajumbe mbalimbali wanaotuwakilisha.

Mpaka sasa bado sijasikia utaratibu wowote wa kurushwa kwa matangazo hayo, yaani kuna ukimya fulani kutoka mamlaka husika!!

Binafsi nitapinga ukiritimba na urasimu wowote katika kurusha matangazo hayo, ambao mara zote umekuwa ukifanywa na serikali katika matukio muhimu ya kisiasa kama Matangazo ya vikao vya bunge.

Wadau wote tunapenda kupaza sauti zetu kutaka kusikia sasa ni utaratibu upi utatumika katika kutangaza ama kuonyesha matangazo hayo moja kwa moja.
 
Bunge la katiba likirushwa live tu tutapata katiba mbovu.

Wajumbe watajitahidi kuongea yale tu yanayowafurahisha wafuasi wao ambao watakuwa wanaangalia bunge badala ya kuongelea yale yenye umuhimu kwa taifa letu.

Hili bunge lifanye vikao vyake kwa siri kama ilivyokuwa tume ya katiba.

Jambo lolote linaporushwa live ni ngumu sana wahusika kufanya compromise.

tunataka lirushwe live bila chenga,tunataka tuone wanaotetea maslahi yao badala ya maslahi ya kitaifa,tuwabaini na hatimaye tuwahukumu!!!!!
 
wote tunahitaji tuone live! big up, naamini serikali haitatutupa.
 
Siku chache kutoka sasa Bunge la Katiba litaanza rasmi mkoani Dodoma. Watanzania wengi sana tungependa kusikia au kuona moja kwa moja mijadala yote ya Katiba katika Bunge hilo kupitia wajumbe mbalimbali wanaotuwakilisha.

Mpaka sasa bado sijasikia utaratibu wowote wa kurushwa kwa matangazo hayo, yaani kuna ukimya fulani kutoka mamlaka husika!!

Binafsi nitapinga ukiritimba na urasimu wowote katika kurusha matangazo hayo, ambao mara zote umekuwa ukifanywa na serikali katika matukio muhimu ya kisiasa kama Matangazo ya vikao vya bunge.

Wadau wote tunapenda kupaza sauti zetu kutaka kusikia sasa ni utaratibu upi utatumika katika kutangaza ama kuonyesha matangazo hayo moja kwa moja.

Acha upuuzi wewe nenda kazini na ukafanye kazi, hakuna kuangalia Bunge Muda wa kazi, litarekodiwa na kuonyeshwa jioni au weekend!
 
Siku chache kutoka sasa Bunge la Katiba litaanza rasmi mkoani Dodoma. Watanzania wengi sana tungependa kusikia au kuona moja kwa moja mijadala yote ya Katiba katika Bunge hilo kupitia wajumbe mbalimbali wanaotuwakilisha.

Mpaka sasa bado sijasikia utaratibu wowote wa kurushwa kwa matangazo hayo, yaani kuna ukimya fulani kutoka mamlaka husika!!

Binafsi nitapinga ukiritimba na urasimu wowote katika kurusha matangazo hayo, ambao mara zote umekuwa ukifanywa na serikali katika matukio muhimu ya kisiasa kama Matangazo ya vikao vya bunge.

Wadau wote tunapenda kupaza sauti zetu kutaka kusikia sasa ni utaratibu upi utatumika katika kutangaza ama kuonyesha matangazo hayo moja kwa moja.
itanibidi kuchukuwa likizo hili niweze kufuatilia hatua kwa hatua
 
Wewe utakuwa unahitaji maombi kama hujui nini kinaendelea na hatua gani imefikiwa juu ya katiba mpya.

Matokeo ni haya:
  1. watapewa pesa nyingi sana
  2. asilimia ya wabunge
    1. wapenda zanzibar ni ngapi?;
    2. asilimia wa wapenda tanganyika ni ngapi?
    3. na asilimia ya wapenda tanzania ni wangapi????????????????????????(90%????????????) niambieni mie sijasema??????
  3. masuala mengine ya tunu za taifa kama migodi, mafuta ... ilishawekwa kwenye mikataba na wawekezaji miaka iliyopita na ipo kisheria kwa manufaa ya taifa letu na kidogo sana kwa wawekezaji.
Hivi kweli halija rushwa kwenye tiiviiiii?????
 
msimamo wa wenye nchi ni serikali mbili! mimi kwa kusikia tu hivyo basi sina hata haja ya kushuhudia `live' kitakachoendelea huko bungeni katibani,kwani ni lazima wachakachue tu ili sera,itikadi na misimamo ya wenye nchi iendelee kusimama kama tembo na ugumu wa maisha uzidi kuwala raia kama chatu!
 
Back
Top Bottom