Je, Barabara iendayo Kijichi imefungwa?

Je, Barabara iendayo Kijichi imefungwa?

hongera sana kaka, hicho kitambi nitakiona wapi kaka wakati siku hizi tunawasiliana kwa mail tu.
Hahahaha chill kaka, ntafanya suprise next month,mwez huu umekuwa busy sana, Bashite kazogoa. sema sikuhizi uko mbali sana na yale mambo yetu ya mjini nikifika huko.
 
Hahahaha chill kaka, ntafanya suprise next month,mwez huu umekuwa busy sana, Bashite kazogoa. sema sikuhizi uko mbali sana na yale mambo yetu ya mjini nikifika huko.

hahaha mwezi ujao kuanzia tarehe 10 nitakua likizo fanya uje kaka tukachome nyama kwa Selina pale wamelata mizigo mipya.
 
hahaha mwezi ujao kuanzia tarehe 10 nitakua likizo fanya uje kaka tukachome nyama kwa Selina pale wamelata mizigo mipya.
mzigo???/?mmmh wewe si umenanihii majuzi tu hahahahahaha
u know what i mean😱😱😱😱🙄😉
 
hahaha mwezi ujao kuanzia tarehe 10 nitakua likizo fanya uje kaka tukachome nyama kwa Selina pale wamelata mizigo mipya.
Bro nakuja, hapo kwa Selina umefanya nicheke mpaka shida, ntakuja aise lakin PP lazima tuende. Mwambie na Mtu..
 
Kapicha sasa nyie mkoje..[emoji15] [emoji15] [emoji15]
5be88e658faae024ed8db03a8cfe268d.jpg
 
sasa nani bora kati yetu na wakati wewe huko mbagala umepanga pia? ndo mdudu gani huyo hamorapa?
napafahamu na iliyemjibu niliongelea habari za mbagala kwahiyo tuliza kipago chako usiniulize maswali ambayo hayajavaa nguo mwana wewe
...teh hee hee.,hasira za joto fungus zishaanza kutekenya!
..ngoja mi nitulize kipago!
 
itakuwa sababu ya davido! poor davido!
 
Back
Top Bottom