DR SANTOS
JF-Expert Member
- Mar 11, 2019
- 10,519
- 21,437
Poleni na majukumu wana JF, moja kwa moja kwenye hoja.
Tunajua bangi (marijuana)ni mmea kama mimea mingine ambao unatokana na mbegu inayoitwa (cannabis) lakini ikitumika vibaya inaweza kukupa madhara, hasa ya kisaikolojia
Kumekuwa na imani ya kwamba viumbe visivyoonekana kama majini vinaogopa bangi, na kwamba hata kama hutoivuta ila ukajifukiza moshi wa bangi au kuacha moshi usambae katika chumba chako au nyumba yako utakua salama dhidi ya majini na vibwengo.
Je, ni kweli viumbe hawa wanaogopa bangi?
Je, ni kwanini viumbe hawa huogopa bangi?
Je, bangi ina kitu gani cha kipekee?
Je, ni kwanini ni rahisi kuacha bangi kuliko sigara?
Tunajua bangi (marijuana)ni mmea kama mimea mingine ambao unatokana na mbegu inayoitwa (cannabis) lakini ikitumika vibaya inaweza kukupa madhara, hasa ya kisaikolojia
Kumekuwa na imani ya kwamba viumbe visivyoonekana kama majini vinaogopa bangi, na kwamba hata kama hutoivuta ila ukajifukiza moshi wa bangi au kuacha moshi usambae katika chumba chako au nyumba yako utakua salama dhidi ya majini na vibwengo.
Je, ni kweli viumbe hawa wanaogopa bangi?
Je, ni kwanini viumbe hawa huogopa bangi?
Je, bangi ina kitu gani cha kipekee?
Je, ni kwanini ni rahisi kuacha bangi kuliko sigara?