Habari wanajamvi, jamani nilikuwa naulizia kuhusiana na zile kazi nyingi walizotangaza hili shirika la ndege la Tanzania mwishoni mwa mwaka jana vipi kuna mtu aliyeitwa kwenye usahili? Maana naona wamekaa kimya sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.