Je, Amani Karume na Jakaya Kikwete ni wajumbe halali wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM)?

Nchi ipo chini ya JK na kule Zanzibar ni Karume. Ni muda wa kina Bashiru kurudi kufundisha ule unoko aliofanya kutibua ulaji wa akina Rostam muda sasa umefika.
 
Dr Slaa ni mkosoaji mzuri na anatumia "apporach" nnayoizungumzia na ndo maana akarudi CCM na kukubalika.

Kwa mfano approach ya Dr Slaa ni tofauti na Lema.

Ila "approach" ya Mbowe na Dr Slaa pia zinafanana unapima nini ukizungumze kulingana na wakati.

Si umesikia apporacha ya Mbowe kwenye kutoa salamu za pole?

Hata kama ujumbe ule unabeba jina la kiongozi wa upinzani lakini umechanganywa na staha na ustaarabu.

Pia "apporach" yenu wapinzani katika msiba huu mmekosea sana.

..aliyesababisha CHUKI na UADUI kati ya vyama mbadala na CCM, na vyombo vya dola, ni Magufuli.

..maadam sasa amefariki, basi ni muda wa kurudisha HAKI na UPENDO miongoni mwa Watanzania.

..Dr.Slaa angekuwepo upinzani wakati wa Uraisi wa Magufuli, yangemkuta yaliyomkuta Tundu Lissu.
 
Dr Slaa ni mkosoaji mzuri na anatumia "apporach" nnayoizungumzia na ndo maana akarudi CCM na kukubalika.

Kwa mfano approach ya Dr Slaa ni tofauti na Lema.

Ila "approach" ya Mbowe na Dr Slaa pia zinafanana unapima nini ukizungumze kulingana na wakati.

Si umesikia apporacha ya Mbowe kwenye kutoa salamu za pole?

Hata kama ujumbe ule unabeba jina la kiongozi wa upinzani lakini umechanganywa na staha na ustaarabu.

Pia "apporach" yenu wapinzani katika msiba huu mmekosea sana.

Unaichukuliaje ile approach ya kubaki na mavi yetu nyumbani? Hayo yalikuwa ni maneno ya namba moja wa ccm na nchi hii. Au maneno ya hivyo huko ccm ni bonge la approach? Huu msiba ni wa mtu dhalimu, hapa ni mrejesho tu tunatoa wa kumuhusu hayati.
 
Unaichukuliaje ile approach ya kubaki na mavi yetu nyumbani? Hayo yalikuwa ni maneno ya namba moja wa ccm na nchi hii. Au maneno ya hivyo huko ccm ni bonge la approach? Huu msiba ni wa mtu dhalimu, hapa ni mrejesho tu tunatoa wa kumuhusu hayati.
Twazungumzia approach kwenye kutaka ku-address hoja.

Hili jingine sijalisikia.
 
Twazungumzia approach kwenye kutaka ku-address hoja.

Hili jingine sijalisikia.

Hilo kalisema juzi akiwa anafungua stand ya mbezi mchana kweupe. Kutokulisikia haimaanishi hujui tabia yake ya kuwasilisha hoja zake.
 
Hilo kalisema juzi akiwa anafungua stand ya mbezi mchana kweupe. Kutokulisikia haimaanishi hujui tabia yake ya kuwasilisha hoja zake.
Nakubali hiyo ilikuwa ni weakness yake ambayo watu wenye nia na maono ya aina moja wangeweza kumsaidia kurekebisha.

Kwa wale walosoma uongozi kuna topic iitwayo Systemic leadership apporach ambayo imo kwenye kitabu alokiandika bibie Annabel Beerer kiitwacho "leadership and change management" (ukarasa wa 84-85) anazungumzia viongozi wa aina ya Magufuli rip.

Hii ni aina ya uongozi ambao awaita systemic leader, approach yake ni kuelezea na kusisita mabadiliko na mabadiliko hayo yanakuja na uhalisia mpya. Anaendelea kwa kusema kwamba kugundua changamoto zilizopo na katika mazingira magumu yahitaji mfumo sahihi wa kufikiri.

Na hiyo pia ni aina ya uongozi ambao twaweza kusema ni directive agiza na pata matokeo ya haraka.

Watu wa aina hii hawana muda wa mijadala au masuali ya kijinga (ambayo majibu pengine unayo) kwani waamini inaingilia ujumbe wake anaokuwa akilenga kuutoa muda huo.

Hivyo watu kama mimi nawaelewa vizuri aina hii ya viongozi lakini huwa na mapungufu yao mengi tu ambayo huweza kurekebishwa kadri ya muda unavyosogea.
 
Nakubali hiyo ilikuwa ni weakness yake ambayo watu wenye nia na maono ya aina moja wangeweza kumsaidia kurekebisha.

Kwa wale walosoma uongozi kuna topic iitwayo Systemic leadership apporach ambayo imo kwenye kitabu alokiandika bibie Annabel Beerer kiitwacho "leadership and change management" (ukarasa wa 84-85) anazungumzia viongozi wa aina ya Magufuli rip.

Hii ni aina ya uongozi ambao awaita systemic leader, approach yake ni kuelezea na kusisita mabadiliko na mabadiliko hayo yanakuja na uhalisia mpya. Anaendelea kwa kusema kwamba kugundua changamoto zilizopo na katika mazingira magumu yahitaji mfumo sahihi wa kufikiri.

Na hiyo pia ni aina ya uongozi ambao twaweza kusema ni directive agiza na pata matokeo ya haraka.

Watu wa aina hii hawana muda wa mijadala au masuali ya kijinga (ambayo majibu pengine unayo) kwani waamini inaingilia ujumbe wake anaokuwa akilenga kuutoa muda huo.

Hivyo watu kama mimi nawaelewa vizuri aina hii ya viongozi lakini huwa na mapungufu yao mengi tu ambayo huweza kurekebishwa kadri ya muda unavyosogea.

Basi huyu yuko kwenye hilo kundi la kina Lema ambalo hupendi approach zao.
 
Lema hawezi hata kujaribu kupanda level alokuwa nayo Magufuli rip.

Historia zao ni tofauti.

Magufuli alikuwa na level gani boss, au ni mambo ya kuabudu sanamu? Nimecheka sana ulipotoa ufafanuzi wa kitaalamu ni kwanini unaweza kumuelewa Magufuli na mapungufu yake, lakini umeshindwa kutumia elimu hiyo hiyo kuwaelewa akina Lema and the likes. Au ndio mambo ya mahaba niue?
 
Magufuli alikuwa na level gani boss, au ni mambo ya kuabudu sanamu? Nimecheka sana ulipotoa ufafanuzi wa kitaalamu ni kwanini unaweza kumuelewa Magufuli na mapungufu yake, lakini umeshindwa kutumia elimu hiyo hiyo kuwaelewa akina Lema and the likes. Au ndio mambo ya mahaba niue?
Nimeishi Arusha mjini na namfahamu Lema na nafahamu historia yake.

Hivyo hata ukileta mafaili nichambue nikikuta faili lake ntaliweka pembeni kwanza.
 
Nimeishi Arusha mjini na namfahamu Lema na nafahamu historia yake.

Hivyo hata ukileta mafaili nichambue nikikuta faili lake ntaliweka pembeni kwanza.

Sina tatizo na hilo, nasema hivi, hiyo elimu yako inayoweza kuelewa mapungufu ya mtawala, ila isiweze kuelewa mapungufu ya asiye mtawala huoni ni kama hujahitimu vizuri? Hapo una tofauti gani ni mtu anayetumia elimu yake kwa faida ya tumbo?
 
Sina tatizo na hilo, nasema hivi, hiyo elimu yako inayoweza kuelewa mapungufu ya mtawala, ila isiweze kuelewa mapungufu ya asiye mtawala huoni ni kama hujahitimu vizuri? Hapo una tofauti gani ni mtu anayetumia elimu yake kwa faida ya tumbo?
Nayaelewa mapungufu yao wote ila hapa twazungumzia approach inayotumika.

Hata wewe nimekuelewa mapungufu yako mawili matatu na ndo maana twazungumza uzuri pale inapobidi.

Halafu nikukumbushe, mimi si mtumishi wa serikali bali ni mjasiriamali na nina vibanda vyangu viwili vitatu vya kuchoma chips na kaduka ka kuuza bidhaa za rejareja.

Hivyo kipato changu ni cha kawaida sana.

Si msomi sana kama unavyofikiri ila napenda kujifunza na huwa sipendi makuu.

Ila nimejaaliwa kusafiri sana na nimeishi na watu wa aina mbalimbali katika nchi mbalimbali duniani, jambo ambalo linenifunza namna ya kuishi na watu.
 
Nayaelewa mapungufu yao wote ila hapa twazungumzia approach inayotumika.

Hata wewe nimekuelewa mapungufu yako mawili matatu na ndo maana twazungumza uzuri pale inapobidi.

Halafu nikukumbushe, mimi si mtumishi wa serikali bali ni mjasiriamali na nina vibanda vyangu viwili vitatu vya kuchoma chips na kaduka ka kuuza bidhaa za rejareja.

Hivyo kipato changu ni cha kawaida sana.

Si msomi sana kama unavyofikiri ila napenda kujifunza na huwa sipendi makuu.

Ila nimejaaliwa kusafiri sana na nimeishi na watu wa aina mbalimbali katika nchi mbalimbali duniani, jambo ambalo linenifunza namna ya kuishi na watu.

Nashukuru kwa kuelewa mapungufu yangu, kama mimi nilivyoelewa mapungufu yako, na ninaheshimu hisia zako. Mimi sijafanikiwa kusafiri sana, ila nimekaa Sweden kwa miaka kadhaa na kupata watoto wawili huko. Kwasasa mimi ni freelance hapa jijini.
 
Wanabodi

Baada ya kusambaa picha mbalimbali zikiwaonesha baadhi ya wanaccm waliokuwa kwenye kamati kuu leo kama ilivyoelezwa kwenye vyombo vya habari, Je Kikwete na Karume ni wajumbe halali? Mbona hawakuwahi kuonekana kwenye CC enzi za Hayati JPM akiwa chairman?

Naomba Msaada.
Labda media tu hazikutaka kuwapa attention
 
Nashukuru kwa kuelewa mapungufu yangu, kama mimi nilivyoelewa mapungufu yako, na ninaheshimu hisia zako. Mimi sijafanikiwa kusafiri sana, ila nimekaa Sweden kwa miaka kadhaa na kupata watoto wawili huko. Kwasasa mimi ni freelance hapa jijini.
Ok, mimi nimekaa kidogo Sweden mji wa Sundsvaal. Ila sizungumzi kiswedish.
 
Kikwete anataka kusahihisha makosa wqliyofanya mwaka 2015 katika kura za maoni

Wazee wa baraza
 
Back
Top Bottom