Masokotz
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,495
- 5,529
Kesho tunaingia kwenye uchaguzi;
Katika tunayoomba yafanyike katika uchaguzi huu ni swala la HAKI kutendeka na AMANI kudumu. Kumekuwa na mjadala wa chini kuhusu AMANI yetu huku wengine wakitaka kuwaaminisha kwamba ni sawa kupoteza amani katika kudai HAKI.
Nianze kwa kusema kwamba HAKI pekee ambayo inaweza kudaiwa kwa kuvunja hali ya AMANI ni haki ya kuwa na AMANI haki nyingine zote haziwezi kuwa na thamani kuliko amani mfano swala la haki ya kuchagua viongozi tunaowataka
Kama wananchi tusikubali kupoteza amani yetu kwa sababu tu ya kudai eti viongozi fulani ndo wanapaswa kutangazwa ila tukubali kupoteza amani iwapo viongozi ambao tunapewa ni TISHIO kwa AMANI YETU.
Sasa nimeshachokoza mjadala. JE, AMANI yetu ina thamni gani? Inatishiwa na nani ili tuwe tayari kupoteza amani ili kupata haki ya kuwa na amani? Tukumbuke kwamba AMNI ikipotea haipatikani tena ispokuwa tu kwa ncha ya upanga tena.
Watumishi wa Serikali hasa majeshi yote waelewa hilo,Wanasiasa nao waelewe hilo.
JE, AMANI YETU INA THAMNI GANI?
Kwa masaa 24 yaliyopita mitandao yote ya kijamii imefungwa,simu na meseji zinakaguliwa,Mawasiliano ya watu yanafuatilia.Kule zanzibar kumekuwa kimya hakuna habari yoyote inayotoka kule.Maana yake ni kwamba kwa sasa nchi yetu imeingia katika GIZA kuu.Je hii ni gharama ya kutafuta hai au kutafuta amani?
Je nani talaumiwa iwapo mambo yataenda ndivyo sivyo?Je serikali inajua kwamba watu wanatazama kila kitu kinachotokea?
Naendelea kuuliza JE AMNI YETU INA THAMANI GANI?
Katika tunayoomba yafanyike katika uchaguzi huu ni swala la HAKI kutendeka na AMANI kudumu. Kumekuwa na mjadala wa chini kuhusu AMANI yetu huku wengine wakitaka kuwaaminisha kwamba ni sawa kupoteza amani katika kudai HAKI.
Nianze kwa kusema kwamba HAKI pekee ambayo inaweza kudaiwa kwa kuvunja hali ya AMANI ni haki ya kuwa na AMANI haki nyingine zote haziwezi kuwa na thamani kuliko amani mfano swala la haki ya kuchagua viongozi tunaowataka
Kama wananchi tusikubali kupoteza amani yetu kwa sababu tu ya kudai eti viongozi fulani ndo wanapaswa kutangazwa ila tukubali kupoteza amani iwapo viongozi ambao tunapewa ni TISHIO kwa AMANI YETU.
Sasa nimeshachokoza mjadala. JE, AMANI yetu ina thamni gani? Inatishiwa na nani ili tuwe tayari kupoteza amani ili kupata haki ya kuwa na amani? Tukumbuke kwamba AMNI ikipotea haipatikani tena ispokuwa tu kwa ncha ya upanga tena.
Watumishi wa Serikali hasa majeshi yote waelewa hilo,Wanasiasa nao waelewe hilo.
JE, AMANI YETU INA THAMNI GANI?
Kwa masaa 24 yaliyopita mitandao yote ya kijamii imefungwa,simu na meseji zinakaguliwa,Mawasiliano ya watu yanafuatilia.Kule zanzibar kumekuwa kimya hakuna habari yoyote inayotoka kule.Maana yake ni kwamba kwa sasa nchi yetu imeingia katika GIZA kuu.Je hii ni gharama ya kutafuta hai au kutafuta amani?
Je nani talaumiwa iwapo mambo yataenda ndivyo sivyo?Je serikali inajua kwamba watu wanatazama kila kitu kinachotokea?
Naendelea kuuliza JE AMNI YETU INA THAMANI GANI?