Je akifa changudoa?

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
370,964
Reaction score
858,946
akifa sheik tunasoma dua usiku mzima, mlokole tunaimba na kusifu usiku mzima je akifa changudoa tunafanyaje?
 
kama alikua na dini/imani atafanyiwa taratibu za imani yake wangap wanafanya maovu wanafanyiwa taratbu itakua changudoa.
 
Ni kugegedana usiku kucha
Ndo jibu ulilokua unalitaka
Unawasemaga watu kua wao ni division 5 mi nahisi we ni division 10
 
Ni kugegedana usiku kucha
Ndo jibu ulilokua unalitaka
Unawasemaga watu kua wao ni division 5 mi nahisi we ni division 10

du baby boy 17 nimeipenda usernane yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…