The Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 10,959
- 13,426
Ili iweje?....mke wangu hataolewa?
Ili ujue kweli na kweli ikuweke huru kkkk.Ili iweje?
Uko salama niamini bureNihakikishie usalama kwnza kuwa nikitekwa na kuuliwa mke wangu hataolewa?
Kwenye jukwaa la siasa leo GTs tumefikia kujadili kufanana kwa Ridhwan na Abdul?Kichwa cha habari kinajieleza na kujitosheleza. Karibu tutafakari pamoja kujibu swali hapo juu.
View attachment 3487725
View attachment 3487727
Abdul ana baba yake, jina la ubini wake linatoka kwa baba yake na si kwa mama yake Samia.Kichwa cha habari kinajieleza na kujitosheleza. Karibu tutafakari pamoja kujibu swali hapo juu.
View attachment 3487725
View attachment 3487727
Ndo ushangae ni ujinga mtupuKwenye jukwaa la siasa leo GTs tumefikia kujadili kufanana kwa Ridhwan na Abdul?
Ni kuwa tumeishiwa fikra za kujadili siasa au michango ya mjadala huu utaleta tija kuelekea uchaguzi?
Tatizo kuna maisha baada ya uchaguzi, tuwe watu wastahamilivu hata kama kuna mambo tunayaona yapo kinyume na utashi wetu.