Je, 41.54% waliowakubali wapinzani uchaguzi mkuu 2015 hawakuwa na hoja za msingi?

MANYORI Jr

JF-Expert Member
Mar 25, 2012
462
343
Siku hazilingani ndugu zangu japo zote zina masaa 24.Habari za wakati huu.
Leo,katika kutafakari juu ya mambo kadhaa ya kawaida kabisa ,nimejikuta ninawaza juu ya hawa 41.54%(inaweza rekebeshwa) waliowapigia kura wagombea wa nafasi za urais wa JMT kupitia vyama vya upinzani katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.
Kama sitakosea,mshindi wa nafasi hiyo alipata 58.46% ya kura zote halali.
Nimejikuta ninawaza, 41.54% ya kura zote halali zilizopigwa(inaweza rekebeshwa) si haba,ni zaidi ya kura 6,000,000 zilizopigwa na watanzania halali na wenye umri sahihi na wasio na matatizo ya akili(vichaa).
Nimejikuta ninawaza, Je,hawa hawakuwa na hoja za msingi kuliko zile zinazotolewa na wale wasiohitaji uwepo wao?
Karibuni....
 
IMG_20181107_194638.jpeg
IMG-20181107-WA0047.jpeg
IMG_20181107_194638.jpeg


Swissme
 
Mada muhimu sana but watu wanaikimbia.....
Kwa nini? Ninahitaji watu waweke hoja za watu waliowachagua wapinzani.Lengo kuu ikiwa ni kuonesha kilichowasukuma kufanya hivyo hasa kwa kuonesha madhaifu yaliyojili baada ya wao kushindwa kufikia lengo la kumpata kiongozi kutoka upinzani.Tosha.
 
Hoja zimeendelea kuongezeka na wao pia wameongezeka.Mguu sawa....
 
Na kuzungusha mikono kama matahira flani hivi, huku wakisema "mabafiko flani, flani mabadiliko." Angalau wale waliokuwa vibara wa utapeli wanalipia sasa huu ujuha wao.
Umemsahau mpiga pushapu aliyewafunza kuselema? Na kuimba mbele wakati huna nyuma?
 
Back
Top Bottom