Baba mtata
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 280
- 40
siyo baada ya kanumba kufa Jb ni mkal na hakuna wa kumfikia hapa bongo hata katka enzi za kanumba sema ndo vile vitu fake ndo vinapewa promo
ray hamuingii jb hata kidogo.ni kweli ray ana makelele utafikiri mnaijeria.
Jb moto wa kuotea mbali hata kanumba alikuwa anasubiri
Pamoja na kutokua mfuasi wa hawa wanaojiita actors wa Bongo movies...JB yupo mbali sana katika uwezo wa kuigiza ukimlinganisha na Ray.
wote bado sana. am addicted with European movies