mjumbe wa bwana
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 5,282
- 6,162
unaonaje kamà ungeanga somo kuhusu hayo machache unayoyajuaProgramming kwangu imekaa kushoto kabisa....
Huwa najaribu kupitia pitia Java, Javascript, PHP, Python na C/C++ lakini waapi....
Mimi niko nduki sana kwenye issues za IP... Nakimbiza balaa....
VLAN, VPN, MPLS/VPN, DNS, DHCP, Firewall, MGW, UGW, HLR, HSS, OCS, GGSN, SGSN...
Ebanaeee niko fiti....
Ukikiweka nitag, nikidownload!kitabu bado hakija isha lengo la kufungua hii thread mampema ni kujua kama ntakua nawatu wengi watakao pakua hiki kitabu au ndo muda wangu ntakua nimeupoteza bure. but very soon kitaisha na hili ndo jukwaa lake.
Nashukuru kwa kunipa nguvu basi ntazidisha speed ili kitoke wakati muhafaka.tupo wala usiogope fanya kazi wengi wataifurahia
Mkuu naomba uangalie matumizi ya l na r vizuri ili kwa msomaji isiwe tabu na aelewe vizuri. Pia nimeona umetumia neno compyuter sijajua ni typing error au umekusudia hivyo.
But all in all kazi nzuri.
L na R ni tatizo kubwa kwako. Wengi tumeona ila hatukutaka ku-dwell kwenye subtle technicalities.Hii ni typing error pia nitoe shukrani zangu za dhati kwani wew pekyako ndo ulioweza kugundua kama kuna hili tatizo, asante sana na ntarifanyia kazi.
Big up san kaka.Mwaka huu nime balikiwa na mawazo mengi ambayo yamefanya kichwachangu kuvurugika nikifikiria ni jinsi gani naweza kuisaidia jamii yangu kiujumla. Ndipo nikaja na wazo hili la kuandika kitabu.
Lengo la kuandika hiki kitabu nikwasababu watu wengi wanapenda kufanya au kutengeneza program za kwao nasio kutumia source code za wengine sema wanashindwa kwasababu elimu waliokua nayo juu ya hiko kitu wanacho kitengeneza ni ndogo kwaiyo kuwa nauwezowakuelewa na unachokifanya ndipo unapokuja kutengeneza chakwako.
Hiki kitabu kimeandikwa kwa lugha ya kiswahili kabisa na pia kitakua laisi sana kwa msomaji kwani javascript ni raisi kuisoma na kuielewa.
Natumaini kikiisha ntapata marafiki wengi ambao wanapenda sana keyboard kuliko kulala.
Kwaiyo kama unapenda kuongeza ujuzi au kujua javascript karibu kwani elimu hainaga mpaka hii ni kwa watu wote waliokua interested na programing in javascript.
View attachment 490436
shukrani sana mkuu, natumaini nawew utakua mmoja wa watu watakao pakua hiki kitabu.Big up san kaka.
Mwaka huu nime balikiwa na mawazo mengi ambayo yamefanya kichwachangu kuvurugika nikifikiria ni jinsi gani naweza kuisaidia jamii yangu kiujumla. Ndipo nikaja na wazo hili la kuandika kitabu.
Lengo la kuandika hiki kitabu nikwasababu watu wengi wanapenda kufanya au kutengeneza program za kwao nasio kutumia source code za wengine sema wanashindwa kwasababu elimu waliokua nayo juu ya hiko kitu wanacho kitengeneza ni ndogo kwaiyo kuwa nauwezowakuelewa na unachokifanya ndipo unapokuja kutengeneza chakwako.
Hiki kitabu kimeandikwa kwa lugha ya kiswahili kabisa na pia kitakua laisi sana kwa msomaji kwani javascript ni raisi kuisoma na kuielewa.
Natumaini kikiisha ntapata marafiki wengi ambao wanapenda sana keyboard kuliko kulala.
Kwaiyo kama unapenda kuongeza ujuzi au kujua javascript karibu kwani elimu hainaga mpaka hii ni kwa watu wote waliokua interested na programing in javascript.
View attachment 490436
na mungu akutie nguvu na wepesi katika kazi hioNashukuru kwa kunipa nguvu basi ntazidisha speed ili kitoke wakati muhafaka.
Amin natumaini mungu amesikia, sitochoka mbaka kiishe.na mungu akutie nguvu na wepesi katika kazi hio