Mkuu unabii umetimia. Mwana mpotevu karudi kwa babaye tutegemee mwana kuvishwa kanzu mpya safi, tafrija na kuvishwa pete. HahaaaaaHii ni historia nyingine inawekwa Tanzania kama ile ya miaka ya tisini na ushee!
ambapo mh Mrema jasusi mzoefu alivyotumwa na CCM kuanzisha upinzani na hatimaye kuhakikisha upinzani na chama cha NCCR kinadumaa mpaka leo.
Chadema walijitahidi sana kupambana na mamluki kabla ya kuangukia pua mwaka 2015.
Napenda thread hii ibaki katika kumbukumbu ili wanafunzi wa kizazi kijacho juu ya mambo ya siasa nchini wajifunze.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Some will be heart broken, others made stronger.
Ha ha ha kila lililo heri ndugu!I just see things
most people cant see ...I know I will be challenged a lot thats why I preferred the name Jingalao!
Bravo mkuu.Hii ni historia nyingine inawekwa Tanzania kama ile ya miaka ya tisini na ushee!
ambapo mh Mrema jasusi mzoefu alivyotumwa na CCM kuanzisha upinzani na hatimaye kuhakikisha upinzani na chama cha NCCR kinadumaa mpaka leo.
Chadema walijitahidi sana kupambana na mamluki kabla ya kuangukia pua mwaka 2015.
Napenda thread hii ibaki katika kumbukumbu ili wanafunzi wa kizazi kijacho juu ya mambo ya siasa nchini wajifunze.
UPDATES:
Leo tarehe 1/3/2019 mwanaccm mwenye ushawishi nchini ndugu EDWARD NGOYAI LOWASSA amerejea CCM baada ya kuhamia CHADEMA mwaka 2015 nilipoandika thread hii.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Unaweza ukawa sahihi kulingana na mtazamo wako, lakini kumbuka si kila uwazalo ni sahihi, anyway time will tell
Hivi unawafahamu majasusi wewe? Au unajiandikia vitu usivovifahamu?
siasa za bongowewe acha uongo upinzani haukuanzishwa na mrema inawezekana ulikuwa hujazaliwa, mrema alifukuzwa ccm baada ya kutofautiana nao kuhusu kashfa ya Chavda, si kweli kwamba alitumwa kuua upinzani.
lowasa amehamia cdm baada ya kukatwa mchakato kila mtu ameshuhudia tick tack zA MWENYEKITI ,nenda kawaaminishe Ujinga wako wajinga wenzio huko mtaa wa lumumba
Watu wachafu wote wanarudi kwenye mazizi yaoKaribu nyumbani Kwa mara nyingine
DuhHii ni historia nyingine inawekwa Tanzania kama ile ya miaka ya tisini na ushee!
ambapo mh Mrema jasusi mzoefu alivyotumwa na CCM kuanzisha upinzani na hatimaye kuhakikisha upinzani na chama cha NCCR kinadumaa mpaka leo.
Chadema walijitahidi sana kupambana na mamluki kabla ya kuangukia pua mwaka 2015.
Napenda thread hii ibaki katika kumbukumbu ili wanafunzi wa kizazi kijacho juu ya mambo ya siasa nchini wajifunze.
UPDATES:
Leo tarehe 1/3/2019 mwanaccm mwenye ushawishi nchini ndugu EDWARD NGOYAI LOWASSA amerejea CCM baada ya kuhamia CHADEMA mwaka 2015 nilipoandika thread hii.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Kwani NCCR ilikufaje?Sasa Chadema imekufaje?
Au unaweza kutoa ishara za kifo cha Chadema?
Au kuondoka kwa Lowassa ndio kifo cha Chadema kwa muono wako?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ebu toa ishara zinazokufanya Chadema uifananishe na NccrKwani NCCR ilikufaje?