Mkuu Amavubi na wengine naomba muwe mnaema 'mjaa asili haachi asili'
na sio 'jasiri'
jasiri ni sawa na kusema 'a brave' person
hai make sense
hii methali inakosewa sana
ni 'mjaa asili haachi asili'
Dah... asante sana The Boss!
Ni jana tu nilikua nataka kuitumia hiyo methali sehem nikashikwa na utata jinsi ya kuitamka maana niliona haileti maana....lakini jamaa niliyekua nae akanisisitizia kuwa ni "jasili aachi asili" hapo alinivuruga kabisa nikaacha hata kuitumia nikiwa bado naumiza kichwa kuwa msemo huu ni wa kilugha au vipi mbona sipati maana...???
At last umenijibu kiu yangu aisee...."Mjaa asili aachi asili"....kweli inaleta maana sasa!
Mkuu Amavubi na wengine naomba muwe mnaema 'mjaa asili haachi asili'
na sio 'jasiri'
jasiri ni sawa na kusema 'a brave' person
hai make sense
hii methali inakosewa sana
ni 'mjaa asili haachi asili'
kkuna namna nyingi za kuboresha, halafu ukumbuke hakuomba urais ili apaboreshe hapo kwa bibi yakeamepaboresha hapo kwa bibi yake?,tangu aingie white house ameshatembelea kenya?,maana wakenya walimaindi sana mr president alipofanya ziara bongo na kuiacha kenya!...