M Mtarban JF-Expert Member Jan 14, 2015 3,856 5,086 Jan 7, 2017 #1 teh teh teh ! Rais nyerere Mungu ailaze mahali pema peponi amina! ulipotutoa hakika unastahili pongezi zisizo na kifani. asingekuwa wewe ............... swali linahitaji majibu wanajf
teh teh teh ! Rais nyerere Mungu ailaze mahali pema peponi amina! ulipotutoa hakika unastahili pongezi zisizo na kifani. asingekuwa wewe ............... swali linahitaji majibu wanajf
Wong Fei JF-Expert Member Apr 13, 2016 5,060 6,828 Jan 7, 2017 #2 Angekuwa bado anatawala mpaka sasa hiv. Na hali ingekuw mbaya sana
Testar JF-Expert Member May 30, 2015 7,886 13,623 Jan 7, 2017 #3 Makao makuu pamoja na mji mkuu vingekuwa ni Charttle.
Bashatu JF-Expert Member Nov 8, 2015 834 885 Jan 7, 2017 #4 CHARMILTON said: Makao makuu pamoja na mji mkuu vingekuwa ni Charttle. Click to expand... Duh
Ekyoma JF-Expert Member Dec 30, 2015 2,177 2,804 Jan 7, 2017 #5 Tungekuwa bado kwenye mfumo wa chama kimoja
DuppyConqueror JF-Expert Member Mar 30, 2014 9,466 6,966 Jan 7, 2017 #6 In short......Tanzania isingekuwa kwenye kundi la Third World......naamini tungekuwa Second World tunaitafuta First World.
In short......Tanzania isingekuwa kwenye kundi la Third World......naamini tungekuwa Second World tunaitafuta First World.